Wanaharakati ndio walio leta Uhuru wa Tanganyika

Sipingani na unavyosema Mzee Said, ila kwa yale nisiyokubaliana na wewe kwenye historia ya TAA na baadae TANU yatabaki pale pale...na wala sitarajii kubadilisha msimamo wangu.
 
Sipingani na unavyosema Mzee Said, ila kwa yale nisiyokubaliana na wewe kwenye historia ya TAA na baadae TANU yatabaki pale pale...na wala sitarajii kubadilisha msimamo wangu.
May Day,
Huko peke yako katika wasioikubali yale niliyoandika kuhusu Abdul Sykes na ndiyo maana alifutwa kabisa katika historia ya TANU lau kama kadi yake ilikuwa no. 3 na ni yeye aliyempokea Nyerere na akaishinae nyumbani kwake.

Historia ya TANU ikaandikwa na hakutajwa popote.

Hakuna kilichobadilika hadi leo.
Kwangu hili halinitaabishi.

Hata kama utabadilisha msimamo wako mimi kwangu hakuna kitakachobadilika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…