May Day,
Mimi si kama najipigia zumari yaani "blowing my own trumpet."
Hii historia naijua vizuri sana kwa kuwa nimeishi ndani yake.
Tabu sana kwa mtu kushindana na mimi katika historia ya TANU na historia ya uhuru wa Tanganyika akanishinda.
Wakati mwingine hufupisha majibu kwa kuchelea kuwachosha wasomaji wangu.
Sent using
Jamii Forums mobile app