Wanaharakati nendeni UAE kama team ya wataalamu kuomba mabadiliko ya mkataba

Wanaharakati nendeni UAE kama team ya wataalamu kuomba mabadiliko ya mkataba

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Nashauri wadau badala ya kusubiri serikali kurekebisha mkataba nendeni moja kwa moja UAE na mapendekezo ya marekebisho.

Na nina rudia UAE sio Dubai pekee maana tuna uhusiano na UAE kama nchi na sio Dubai. Lakini twende na mapendekezo kabisa ya marekebisho ya mkataba naamini kabisa wataaikiliza na kufanya marekebisho. Hii ni kwasababu serikali ya UAE haitapenda haya yanayoendelea.

Serikali inawezekana kuna waliokula pesa na ndiyo maana hawataweza kwenda kwa Dubai kusema malalamiko.
 
Mkienda mlichokula atalipa Nani. Naijua Ile inaitwa mwana kulitaka mwana kulipata ndo hii.
 
Siyo kuomba bali kuwataka wabadilishe au kuacha kabisa unyang'anyi huo.
 
Si jukumu la wanaharakati kuomba marekebisho kwenye mkataba, walioingia mkataba wakidhani Tanzania haina watu wanaojali ndio wenye jukumu hilo, ila da! Zile gharama za wabunge na wasiojulikana waliokwenda kwenye shopping spree atarudisha nani.
 
Una kitu kinaitwa Locus? Tatizo hata unachoogelea hukijui, uko kama mpira uliojazwa upepo tu basi.
 
Una kitu kinaitwa Locus? Tatizo hata unachoogelea hukijui, uko kama mpira uliojazwa upepo tu basi.

Wewe ndiyo unajua kila kitu sheria zote na nini cha kufanya. Watanzania wengi ndiyo wanafikiria kama wewe!. Mimi ushauri wangu ni kwenda kuongea na wahusika kama wanaharakati! tatizo ni nini hapo
 
Back
Top Bottom