Nashauri wadau badala ya kusubiri serikali kurekebisha mkataba nendeni moja kwa moja UAE na mapendekezo ya marekebisho.
Na nina rudia UAE sio Dubai pekee maana tuna uhusiano na UAE kama nchi na sio Dubai. Lakini twende na mapendekezo kabisa ya marekebisho ya mkataba naamini kabisa wataaikiliza na kufanya marekebisho. Hii ni kwasababu serikali ya UAE haitapenda haya yanayoendelea.
Serikali inawezekana kuna waliokula pesa na ndiyo maana hawataweza kwenda kwa Dubai kusema malalamiko.
Na nina rudia UAE sio Dubai pekee maana tuna uhusiano na UAE kama nchi na sio Dubai. Lakini twende na mapendekezo kabisa ya marekebisho ya mkataba naamini kabisa wataaikiliza na kufanya marekebisho. Hii ni kwasababu serikali ya UAE haitapenda haya yanayoendelea.
Serikali inawezekana kuna waliokula pesa na ndiyo maana hawataweza kwenda kwa Dubai kusema malalamiko.