Wanaharakati njooni Tena tuikomboe nchi hakika tunaangamia

Wanaharakati njooni Tena tuikomboe nchi hakika tunaangamia

Kindus

JF-Expert Member
Joined
May 14, 2014
Posts
3,384
Reaction score
2,073
Nakumbuka siasa hizi za kiharakati zilianzia vyuo vikuu vijana wasomi na ma professor wahadhiri haswa wa UD na pale UDOM mambo yalikuwa moto moto sana, Mpango wa vyama vya upinzani haswa CHADEMA ulifaulu kwa 80%

Chini ya ukatibu wa Dr wa mihogo kulipatikana kina ZItto kina Juliana Shonza kina Kitila kina Msafiri Mtemelwa, Henry Kilewo kina Yeriko Nyerere, Ben Sanane Patroas John Heche Mnyika Tundu Lisu na wengineo, hiki kilikuwa kizazi Cha dhahabu cha siasa za nchi hii. Hawa walileta mapinduzi makubwa ktk siasa za nchi hii ikifika mahali hiyo mwaka 2010 ukionekana na sare za CCM haswa kwa miji ya Arusha Dar Mwanza na Mbeya eitha utazomewa au itachanwa

Ila kwa maoni yangu Mbowe na hayati Madufuli ndiyo wameuwa upinzani, M\kiti Mbowe kitendo Cha kudanganywa na Lowasa chama kutoka ktk siasa za kiharakati eti kwenda ktk siasa za kisayansi hii ilikuwa big mistake. Ni harakati pekee na misimamo mikali ndiyo itakiondosha CCM

Njooni Tena wanaharakati niliowataja na niliowasahau tuunde chama kipya tuikomboe nchi yetu kwenye mikononi mwa adui CCM.​
 
Tusitazamie chama tutizamie nchi kumbuka vyama ni sehemu ndogo tu kwenye taifa tuweke maslahi kuipata nchi bora na sio chama bora
 
Tusitazamie chama tutizamie nchi kumbuka vyama ni sehemu ndogo tu kwenye taifa tuweke maslahi kuipata nchi bora na sio chama bora
Kumbuka kuwa bila chama hupati dola
 
Mission iliyo mbele yetu ni kupigania uhuru upya, hii haihitaji kuunda chama chochote cha siasa ila wanaharakati na wananchi tunatakiwa kukishinikiza chama kilicho hodhi mamlaka ya kidola na kibaki kama mkoloni mweusi.
Nyerere alifanya yake, akaweza lakini alikuja kuzidiwa ujanja na kikundi cha watu mafisadi ndani ya CCM ambao wanaiendesha nchi hii kama vikao vya kifamilia.
Tudai upya uhuru kamili ambao unaanza na ardhi kuwa mali ya wananchi... Sio mali ya umma, tuandike Katiba mpya itakayo weka udhibiti kwa viongozi watakao chaguliwa, tuwe na Tume iliyohuru kusimamia upatikanaji wa viongozi na mwisho tuhakikishe Tanganyika inapata mamlaka yake na kuanzia hapo tuamue kama kuna haja ya kuwa na Muungano.
Ukiniuliza mimi, Muungano uvunjwe, Tanganyika ipate katiba yake na ijiendeshe kutokea Dodoma. Nchi za Tanganyika na Zanzibar kama wananchi wake bado wanautaka Muungano, basi tujiunge kwenye Federation ya Africa Mashariki kila nchi kivyake. 🙏
 
Mission iliyo mbele yetu ni kupigania uhuru upya, hii haihitaji kuunda chama chochote cha siasa ila wanaharakati na wananchi tunatakiwa kukishinikiza chama kilicho hodhi mamlaka ya kidola na kibaki kama mkoloni mweusi.
Nyerere alifanya yake, akaweza lakini alikuja kuzidiwa ujanja na kikundi cha watu mafisadi ndani ya CCM ambao wanaiendesha nchi hii kama vikao vya kifamilia.
Tudai upya uhuru kamili ambao unaanza na ardhi kuwa mali ya wananchi... Sio mali ya umma, tuandike Katiba mpya itakayo weka udhibiti kwa viongozi watakao chaguliwa, tuwe na tuma iliyohuru kusimamia upatikanaji wa viongozi na mwisho tuhakikishe Tanganyika inapata mamlaka yake na kuanzia hapo tuamue kama kuna haja ya kuwa na Muungano.
Ukiniuliza mimi, Muungano uvunjwe, Tanganyika ipate katiba yake na ijiendeshe kutokea Dodoma. Nchi za Tanganyika na Zanzibar kama wananchi wake bado wanautaka Muungano, basi tujiunge kwenye Federation ya Africa Mashariki kila nchi kivyake. 🙏
Kweli aisee
 
Nakumbuka siasa hizi za kiharakati zilianzia vyuo vikuu vijana wasomi na ma professor wahadhiri haswa wa UD na pale UDOM mambo yalikuwa moto moto sana, Mpango wa vyama vya upinzani haswa CHADEMA ulifaulu kwa 80%

Chini ya ukatibu wa Dr wa mihogo kulipatikana kina ZItto kina Juliana Shonza kina Kitila kina Msafiri Mtemelwa, Henry Kilewo kina Yeriko Nyerere, Ben Sanane Patroas John Heche Mnyika Tundu Lisu na wengineo, hiki kilikuwa kizazi Cha dhahabu cha siasa za nchi hii. Hawa walileta mapinduzi makubwa ktk siasa za nchi hii ikifika mahali hiyo mwaka 2010 ukionekana na sare za CCM haswa kwa miji ya Arusha Dar Mwanza na Mbeya eitha utazomewa au itachanwa

Ila kwa maoni yangu Mbowe na hayati Madufuli ndiyo wameuwa upinzani, M\kiti Mbowe kitendo Cha kudanganywa na Lowasa chama kutoka ktk siasa za kiharakati eti kwenda ktk siasa za kisayansi hii ilikuwa big mistake. Ni harakati pekee na misimamo mikali ndiyo itakiondosha CCM

Njooni Tena wanaharakati niliowataja na niliowasahau tuunde chama kipya tuikomboe nchi yetu kwenye mikononi mwa adui CCM.​
katika migawanyiko chuki na uhasama kuna ukombozi kweli?

Ni muhimu kwanza kujikomboa kwenye kuporomosha matusi dhidi ya wenye fikra na mawazo tofauti na hao watukanaji katika chama ulichokitaja, achilia mbali CCM..

Jambo la pili,
Ni muhimu kujikomboa kutoka kwenye mihemko na ghadhabu, na kujipa umuhimu na haki zaidi ya wengine.

Umoja wa Kitaifa ndio pekee ukombozi wa kweli wa Taifa lolote ulimwenguni.

Serikali sikivu ya CCM chini ya Rais na kipenz cha waTanzania, wanafanya kazi nzuri katika kuhakikisha, kila mtanzania anakua katika mazingira salama na ya amani katika shughili zake za kila siku za kujikomboa kiuchumi, kisiasa na kijamii bila bughudha wala mbambamba za mtu yoyote 🐒
 
Acheni kwanza, uvivu wa aina yoyote, kuchukiana, unafiki na UFISADI.
 
katika migawanyiko chuki na uhasama kuna ukombozi kweli?

Ni muhimu kwanza kujikomboa kwenye kuporomosha matusi dhidi ya wenye fikra na mawazo tofauti na hao watukanaji katika chama ulichokitaja, achilia mbali CCM..

Jambo la pili,
Ni muhimu kujikomboa kutoka kwenye mihemko na ghadhabu, na kujipa umuhimu na haki zaidi ya wengine.

Umoja wa Kitaifa ndio pekee ukombozi wa kweli wa Taifa lolote ulimwenguni.

Serikali sikivu ya CCM chini ya Rais na kipenz cha waTanzania, wanafanya kazi nzuri katika kuhakikisha, kila mtanzania anakua katika mazingira salama na ya amani katika shughili zake za kila siku za kujikomboa kiuchumi, kisiasa na kijamii bila bughudha wala mbambamba za mtu yoyote 🐒
Shida Yako kubwa hutaki tuondoshe chanzo Cha tatizo
 
Back
Top Bottom