Wanaharakati pazeni sauti kuhusu Katiba Mpya, Rais ni msikivu atawasikiliza

Wanaharakati pazeni sauti kuhusu Katiba Mpya, Rais ni msikivu atawasikiliza

The new queen bee 🐝 in the apiary…

She is soft…she is amenable…she is not hardheaded…she is a mother…she doesn’t yell, scream, or scold anybody…she is this, that, and the third!

Sasa endeleeni kukandamiza enyi wanaharakati. Pigeni kelele kwa sauti kubwa. Ikibidi hata mjigalagaze mabarabarani.

Huyu mama ni mlaini na ni msikivu sana.

Si mnaona sasa jinsi mambo yalivyo? Mkipiga mayowe kidogo tu huku mtandaoni ambako naye yupo, anayafanyia kazi hayo mayowe yenu!

Basi kazeni buti sana. Mpigieni makelele mpaka tupate katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kabla ya 2025.

Hana kabisa ubavu wa kukataa au kujifanya hazisikii kelele zenu.

Mkomalieni mpaka kieleweke.

Ichukueni hii na muifanye iwe kauli mbili yenu kuanzia sasa:

No katiba mpya, no tume huru ya uchaguzi, NO PEACE!


Yawezekana akawa flexible kuruhusu hilo ila tatizo ni namna ya kumdhibiti aliyeshika remote control yetu
 
Wapinzani sasa enzi ya dikteta haipo sasa piganieni uhuru wa kweli mliohubiri kitambo [emoji848]
 
The new queen bee 🐝 in the apiary…

She is soft…she is amenable…she is not hardheaded…she is a mother…she doesn’t yell, scream, or scold anybody…she is this, that, and the third!

Sasa endeleeni kukandamiza enyi wanaharakati. Pigeni kelele kwa sauti kubwa. Ikibidi hata mjigalagaze mabarabarani.

Huyu mama ni mlaini na ni msikivu sana.

Si mnaona sasa jinsi mambo yalivyo? Mkipiga mayowe kidogo tu huku mtandaoni ambako naye yupo, anayafanyia kazi hayo mayowe yenu!

Basi kazeni buti sana. Mpigieni makelele mpaka tupate katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kabla ya 2025.

Hana kabisa ubavu wa kukataa au kujifanya hazisikii kelele zenu.

Mkomalieni mpaka kieleweke.

Ichukueni hii na muifanye iwe kauli mbili yenu kuanzia sasa:

No katiba mpya, no tume huru ya uchaguzi, NO PEACE!
Mayowe yanayopigwa sasa hivi, baada ya yeye kuchukua usukani, siyo yanayomfanya atende. Mheshimiwa Samia anarekebisha makosa yaliyofanywa na Magufuli, ambayo wanaharakati, wanasiasa na raia wa kawaida walikuwa wanayapigia kelele lakini Magufuli akafumba macho. Haya malalamiko yalikuwepo siku nyingi na yeye inaonekana alikuwa anayaunga mkono kabisa ila yule mwendazake alikuwa hasikii lolote.
 
Wapinzani sasa enzi ya dikteta haipo sasa piganieni uhuru wa kweli mliohubiri kitambo [emoji848]
Usihofu. Mheshimiwa Samia ana busara na anajua ni nini maana ya uongozi. Atarekebisha makosa ya mwendazake bila kumsema vibaya au kumsimanga kama alivyofanya mwendazake kwa watangulizi wake. Uhuru hupiganiwa pale ambapo mtu amenyimwa uhuru. Yeye keshasema atafanya mazungumzo na wapinzani na kuwashirikisha kwenye uongozi. Ni busara kumpa muda ili ijulikane ni kipi kimetekelezwa na ni kipi hakijatekezwa. Pole naona roho inakuuma sana kila ukiona wapinzani wanaanza kuthaminiwa. Kosa ni lenu. Mlimwimbia mapimbio mwendazake akalewa sifa kuwa ameshinda corona kumbe ikaja kumshinda yeye.
 
Kuna wale waluopanga ati Raisi Samia Suluhu awe wa Awamu moja

Ni vizuri Mama nae amwage Mboga kwa kutupa Tume Huru na Katiba mpya Mujarabu atakuwa amewaweza kinoma
Ina maana nyie CDM hamna mpango wa kutwaa kiti cha urais 2025!??
mmesharidhika...!?
mbona wepesi sana nyie
 
Ina maana nyie CDM hamna mpango wa kutwaa kiti cha urais 2025!??
mmesharidhika...!?
mbona wepesi sana nyie
Tunataka tuingize Wabunge wengi Bungeni kwanza Uraisi utakuja tu sio wa kulazimisha kama ccm
 
Kwenye napata ukakasi sana hii ambayo inamapungufu haeaitimizi je iyo mpya wataifwata kweli?
 
Hii nchi sio ya wapinzani peke yao, ni ya watoto wa mke wako na wa michepuko wako pia wanaoshinda kutwa shuleni bila chakula.

Ni ya bibi yako pia asiye na maji ya bomba

Ni ya baba yako anayezunguka kutwa akifuatilia mafao yake ya pensheni.

Ni ya mdogo aliyekosa mkopo wa kusoma chuo.

Ni ya dada yako anayedanga kwa kukosa ajira.
Wapinzani sasa enzi ya dikteta haipo sasa piganieni uhuru wa kweli mliohubiri kitambo [emoji848]
 
Hamna lolote nyie. Kwisha habari yenu.
Trust me kuna Vuguvugu linaendelea chini kwa chini la HAKI ngojeni kupambazuke
westbrookswag.png
 
Mataga hamtaki katiba mpya??Mbona mnawaachia katiba mpya wanaharakati peke yao!

Wewe usingependa ukishazeeka na kibiongo chako kwa kubeba box huko kwa Biden urudi kupumzika katika nchi yenye uhuru ulio sawa na first ammendment?
The new queen bee [emoji219] in the apiary…

She is soft…she is amenable…she is not hardheaded…she is a mother…she doesn’t yell, scream, or scold anybody…she is this, that, and the third!

Sasa endeleeni kukandamiza enyi wanaharakati. Pigeni kelele kwa sauti kubwa. Ikibidi hata mjigalagaze mabarabarani.

Huyu mama ni mlaini na ni msikivu sana.

Si mnaona sasa jinsi mambo yalivyo? Mkipiga mayowe kidogo tu huku mtandaoni ambako naye yupo, anayafanyia kazi hayo mayowe yenu!

Basi kazeni buti sana. Mpigieni makelele mpaka tupate katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kabla ya 2025.

Hana kabisa ubavu wa kukataa au kujifanya hazisikii kelele zenu.

Mkomalieni mpaka kieleweke.

Ichukueni hii na muifanye iwe kauli mbili yenu kuanzia sasa:

No katiba mpya, no tume huru ya uchaguzi, NO PEACE!
 
Mataga hamtaki katiba mpya??Mbona mnawaachia katiba mpya wanaharakati peke yao!

Wewe usingependa ukishazeeka na kibiongo chako kwa kubeba box huko kwa Biden urudi kupumzika katika nchi yenye uhuru ulio sawa na first ammendment?
Niaje kamanda?? Bado unavaa gwanda?
 
The new queen bee 🐝 in the apiary…

She is soft…she is amenable…she is not hardheaded…she is a mother…she doesn’t yell, scream, or scold anybody…she is this, that, and the third!

Sasa endeleeni kukandamiza enyi wanaharakati. Pigeni kelele kwa sauti kubwa. Ikibidi hata mjigalagaze mabarabarani.

Huyu mama ni mlaini na ni msikivu sana.

Si mnaona sasa jinsi mambo yalivyo? Mkipiga mayowe kidogo tu huku mtandaoni ambako naye yupo, anayafanyia kazi hayo mayowe yenu!

Basi kazeni buti sana. Mpigieni makelele mpaka tupate katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kabla ya 2025.

Hana kabisa ubavu wa kukataa au kujifanya hazisikii kelele zenu.

Mkomalieni mpaka kieleweke.

Ichukueni hii na muifanye iwe kauli mbili yenu kuanzia sasa:

No katiba mpya, no tume huru ya uchaguzi, NO PEACE!
Ondoka huko Denmark kajengee kaburi la Baba yako kule chato. Limezungushiwa mabati
 
Back
Top Bottom