Tetesi: Wanaharakati wanaomtetea Rais kumfungulia kesi Tundu Lissu ya kumzushia uongo kumkashifu na kumkumvunjia heshima Rais Magufuli

Tetesi: Wanaharakati wanaomtetea Rais kumfungulia kesi Tundu Lissu ya kumzushia uongo kumkashifu na kumkumvunjia heshima Rais Magufuli

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
1,521
Reaction score
4,381
Muda wowote kuanzia sasa mtetezi wa Acacia na Mabeberu kufunguliwa kesi ya kumdhalilisha na kumzushia uongo RAIS. JPM Tunategemea huyu mtu asakwe popote alipo kuja kujibu mashitaka yake athibishe kama aliyasema haya akiwa mzima au alikuwa amechanganyikiwa siku amekanyaga uwanja wa ndege Terminal3 inatakiwa anyang'anywe Passport ya kusafiria
 
Muda wowote kuanzia sasa mtetezi wa Acacia na Mabeberu kufunguliwa kesi ya kumdhalilisha na kumzushia uongo RAIS. JPM Tunategemea huyu mtu asakwe popote alipo kuja kujibu mashitaka yake athibishe kama aliyasema haya akiwa mzima au alikuwa amechanganyikiwa siku amekanyaga uwanja wa ndege Terminal3 inatakiwa anyang'anywe Passport ya kusafiria

Vitisho
 
Tukisema ccm inaogopa kivuri chake ndio hivyo mpaka rais mmoja
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Muda wowote kuanzia sasa mtetezi wa Acacia na Mabeberu kufunguliwa kesi ya kumdhalilisha na kumzushia uongo RAIS. JPM Tunategemea huyu mtu asakwe popote alipo kuja kujibu mashitaka yake athibishe kama aliyasema haya akiwa mzima au alikuwa amechanganyikiwa siku amekanyaga uwanja wa ndege Terminal3 inatakiwa anyang'anywe Passport ya kusafiria
bora baba ako angevaa condom.
 
Muda wowote kuanzia sasa mtetezi wa Acacia na Mabeberu kufunguliwa kesi ya kumdhalilisha na kumzushia uongo RAIS. JPM Tunategemea huyu mtu asakwe popote alipo kuja kujibu mashitaka yake athibishe kama aliyasema haya akiwa mzima au alikuwa amechanganyikiwa siku amekanyaga uwanja wa ndege Terminal3 inatakiwa anyang'anywe Passport ya kusafiria
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Muda wowote kuanzia sasa mtetezi wa Acacia na Mabeberu kufunguliwa kesi ya kumdhalilisha na kumzushia uongo RAIS. JPM Tunategemea huyu mtu asakwe popote alipo kuja kujibu mashitaka yake athibishe kama aliyasema haya akiwa mzima au alikuwa amechanganyikiwa siku amekanyaga uwanja wa ndege Terminal3 inatakiwa anyang'anywe Passport ya kusafiria
Naona aibu Kama hoja hii nimeianzisha Mimi!
Mleta hoja, nilidhani Una umaskini Wa kipato tu kumbe hata Wa akili umetamalaki?
Tafuta kazi ya kufanya dogo uingize japo jero kuliko kujipendekeza na kujidhalililsha hivi!
Hata hivyo tunashukuru kwa kutuwekea mpango wenu mlionao juu ya Lissu na tafadhali Kama mnao mwingine siyo vibaya mkatujulisha kwa njia hii! Oneni aibu enyi wenye nia ovu kumshinda shetani kwa kujiona MNA haki kuliko wengine! Wenzenu wanapanga mipango ya kuinua uchumi ninyi mpo na kumkwamisha na kumuumiza Lissu! Yana mwisho haya!
 
Muda wowote kuanzia sasa mtetezi wa Acacia na Mabeberu kufunguliwa kesi ya kumdhalilisha na kumzushia uongo RAIS. JPM Tunategemea huyu mtu asakwe popote alipo kuja kujibu mashitaka yake athibishe kama aliyasema haya akiwa mzima au alikuwa amechanganyikiwa siku amekanyaga uwanja wa ndege Terminal3 inatakiwa anyang'anywe Passport ya kusafiria
Mnawashwa kweli nyie mbumbumbu
 
Nomeamini ukiua binadamu lazima uwe chizi.. hata kaini yule wa kwenye biblia alitangatanga sana hata alipo fia hapajulikani baada ya kumwua ndugu yake habil
Kaini hakufa, hakuna aliyeshuhudia kifo cha Kaini, baada ya kumuua nduguye Habili, Mungu alimlaani na kumwambia hatokufa tena bali atakuwa mtoro wa Dunia .
Jiwe limelaaniwa mwisho wa siku litagomea ofisini hadi liwashwe shaba ya kichwani .
 
Muda wowote kuanzia sasa mtetezi wa Acacia na Mabeberu kufunguliwa kesi ya kumdhalilisha na kumzushia uongo RAIS. JPM Tunategemea huyu mtu asakwe popote alipo kuja kujibu mashitaka yake athibishe kama aliyasema haya akiwa mzima au alikuwa amechanganyikiwa siku amekanyaga uwanja wa ndege Terminal3 inatakiwa anyang'anywe Passport ya kusafiria
Ni kesi gani mliwahi kumfungulia Tundu Lissu na mkashinda?
 
Muda wowote kuanzia sasa mtetezi wa Acacia na Mabeberu kufunguliwa kesi ya kumdhalilisha na kumzushia uongo RAIS. JPM Tunategemea huyu mtu asakwe popote alipo kuja kujibu mashitaka yake athibishe kama aliyasema haya akiwa mzima au alikuwa amechanganyikiwa siku amekanyaga uwanja wa ndege Terminal3 inatakiwa anyang'anywe Passport ya kusafiria
Huyu mtu anayemwogopa sana na ndie hasa atakae mmwaliza mchunga ng'ombe kichaa!

Hiyo yote ni mikakati ya kipumbavu kumzuia Lissu asije nchini kugombea urais 2020! Yaani aogope kunyang'anywa passport ilhali ameshinda mlipotaka kumnyang'anya uhai!!??
 
Muda wowote kuanzia sasa mtetezi wa Acacia na Mabeberu kufunguliwa kesi ya kumdhalilisha na kumzushia uongo RAIS. JPM Tunategemea huyu mtu asakwe popote alipo kuja kujibu mashitaka yake athibishe kama aliyasema haya akiwa mzima au alikuwa amechanganyikiwa siku amekanyaga uwanja wa ndege Terminal3 inatakiwa anyang'anywe Passport ya kusafiria
The right to dissent is one of the most important rights guaranteed by our Constitution. As long as a person does not break the law or encourage strife, he has a right to differ from every other citizen and those in power and propagate what he believes is his belief.

JAJI DEEPAK GUPTA, JAJI WA MAHAKAMA YA JUU YA INDIA ALINUKULIWA AKISEMA HAYO KWENYE KONGAMANO LA UHURU WA HABARI NA SHERIA YA UCHOCHEZI, SIO MBAYA TUKIAZIMA BUSARA HIZO
 
Back
Top Bottom