Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
Muda wowote kuanzia sasa mtetezi wa Acacia na Mabeberu kufunguliwa kesi ya kumdhalilisha na kumzushia uongo RAIS. JPM Tunategemea huyu mtu asakwe popote alipo kuja kujibu mashitaka yake athibishe kama aliyasema haya akiwa mzima au alikuwa amechanganyikiwa siku amekanyaga uwanja wa ndege Terminal3 inatakiwa anyang'anywe Passport ya kusafiria