Tetesi: Wanaharakati wanaomtetea Rais kumfungulia kesi Tundu Lissu ya kumzushia uongo kumkashifu na kumkumvunjia heshima Rais Magufuli

Tetesi: Wanaharakati wanaomtetea Rais kumfungulia kesi Tundu Lissu ya kumzushia uongo kumkashifu na kumkumvunjia heshima Rais Magufuli

Upumbavu tu! Badala ya muanze kujipanga kwa ajili ya uchaguzi wa selikali za mtaa ambao ndio utatoa muelekeo wa uchaguzi mkuu nyie mnahangaika na hoja za kipumbavu kama hizi!

Huwa nawauliza kila siku kwamba hivi hizi hasira zenu Mngekuwa mnazionesha kwenye hoja ya kudai tume huru ya uchaguzi au hata katiba mpya si Mngekuwa mmefika sehemu inayoeleweka?

Sasa kuonesha hasira yako kwa kitu cha kipumbavu kama hiki si unaonekana mpumbavu zaidi?

Ccm siyo kwamba inatawala nchi hii sababu inapendwa hapana! Ni kwamba hao tunaosema wangekuwa ndio mbadala mmejaa upumbavu mtupu.
Kama na wewe unajua tume ya uchaguzi (NEC) siyo huru , unajivuna nini ?!. Kama harakati zote zimepigwa marufuku unawalaumu nini wapinzani il hali wanazo kesi za uchochezi za kutosha ?!
 
Je wanaharakati watakuwa na ubavu wa kusimama kujibu "counter offensive" ya TL mwenyewe, Kibatala, Mallya, Kambole nk. itakayotokana na hoja zao?! maana zisije zikawaumbua wale wale ambao wanaharakati wanakusudia kuwatetea na kuwalinda?!
Wahenga waliposema "funika kombe mwanaharamu apite" walikuwa na maana yao kubwa sana!
 
Kwa risasi mmeshindwa ubunge mmenyanganya, sasa .mnaweka vitisho ili asirudi nchini, Tz yetu wote!!
Mbinu za kishetani hizo.
Alichopanga Mungu mwanadamu ni vigumu kupangua.
Mtoto wa Tshekedi ni Rais wa Kongo sasa!!
 
Muda wowote kuanzia sasa mtetezi wa Acacia na Mabeberu kufunguliwa kesi ya kumdhalilisha na kumzushia uongo RAIS. JPM Tunategemea huyu mtu asakwe popote alipo kuja kujibu mashitaka yake athibishe kama aliyasema haya akiwa mzima au alikuwa amechanganyikiwa siku amekanyaga uwanja wa ndege Terminal3 inatakiwa anyang'anywe Passport ya kusafiria
Wafungue haraka ili tuwajue. Siku Jiwe akiondoka tujue tunaanzia wapi kuisafisha nchi.
 
Muda wowote kuanzia sasa mtetezi wa Acacia na Mabeberu kufunguliwa kesi ya kumdhalilisha na kumzushia uongo RAIS. JPM Tunategemea huyu mtu asakwe popote alipo kuja kujibu mashitaka yake athibishe kama aliyasema haya akiwa mzima au alikuwa amechanganyikiwa siku amekanyaga uwanja wa ndege Terminal3 inatakiwa anyang'anywe Passport ya kusafiria
Hao wanaharakati uchwara ni mapungasese
 
Muda wowote kuanzia sasa mtetezi wa Acacia na Mabeberu kufunguliwa kesi ya kumdhalilisha na kumzushia uongo RAIS. JPM Tunategemea huyu mtu asakwe popote alipo kuja kujibu mashitaka yake athibishe kama aliyasema haya akiwa mzima au alikuwa amechanganyikiwa siku amekanyaga uwanja wa ndege Terminal3 inatakiwa anyang'anywe Passport ya kusafiria
Wanamshitakije lissu wakat 2020 anaingia ikulu? Hao wanaoandaa huo wehu watafute uhamishoni mapema
 
Muda wowote kuanzia sasa mtetezi wa Acacia na Mabeberu kufunguliwa kesi ya kumdhalilisha na kumzushia uongo RAIS. JPM Tunategemea huyu mtu asakwe popote alipo kuja kujibu mashitaka yake athibishe kama aliyasema haya akiwa mzima au alikuwa amechanganyikiwa siku amekanyaga uwanja wa ndege Terminal3 inatakiwa anyang'anywe Passport ya kusafiria
Kweli Lisu ni kiboko yao wamechukua ubunge na bado hawajiamini! Kweli Magu anamuogopa Lisu kuliko tunavyo fahamu
 
Naona aibu Kama hoja hii nimeianzisha Mimi!
Mleta hoja, nilidhani Una umaskini Wa kipato tu kumbe hata Wa akili umetamalaki?
Tafuta kazi ya kufanya dogo uingize japo jero kuliko kujipendekeza na kujidhalililsha hivi!
Hata hivyo tunashukuru kwa kutuwekea mpango wenu mlionao juu ya Lissu na tafadhali Kama mnao mwingine siyo vibaya mkatujulisha kwa njia hii! Oneni aibu enyi wenye nia ovu kumshinda shetani kwa kujiona MNA haki kuliko wengine! Wenzenu wanapanga mipango ya kuinua uchumi ninyi mpo na kumkwamisha na kumuumiza Lissu! Yana mwisho haya!
Kama walishindwa kutoa roho yake hata hili watashindwa muda ni mwalimu
 
Kama na wewe unajua tume ya uchaguzi (NEC) siyo huru , unajivuna nini ?!. Kama harakati zote zimepigwa marufuku unawalaumu nini wapinzani il hali wanazo kesi za uchochezi za kutosha ?!
Basi subirini ccm itawaruhuru muendelee na mikutano na pia itawaita mezani muunde tume huru
 
Muda wowote kuanzia sasa mtetezi wa Acacia na Mabeberu kufunguliwa kesi ya kumdhalilisha na kumzushia uongo RAIS. JPM Tunategemea huyu mtu asakwe popote alipo kuja kujibu mashitaka yake athibishe kama aliyasema haya akiwa mzima au alikuwa amechanganyikiwa siku amekanyaga uwanja wa ndege Terminal3 inatakiwa anyang'anywe Passport ya kusafiria
Rubbish!
 
The right to dissent is one of the most important rights guaranteed by our Constitution. As long as a person does not break the law or encourage strife, he has a right to differ from every other citizen and those in power and propagate what he believes is his belief.

JAJI DEEPAK GUPTA, JAJI WA MAHAKAMA YA JUU YA INDIA ALINUKULIWA AKISEMA HAYO KWENYE KONGAMANO LA UHURU WA HABARI NA SHERIA YA UCHOCHEZI, SIO MBAYA TUKIAZIMA BUSARA HIZO
Halafu, cause of action / locus stand ni ipi katika upuuzi huo
 
Basi subirini ccm itawaruhuru muendelee na mikutano na pia itawaita mezani muunde tume huru
Hiyo ndiyo Africa !!. Maanake unaona ccm hawawezi kubadilika bila violence. Hatuwezi kujifunza kutokana na makosa ya wengine.

Wapinzani wa Tz waungwana sana. Na wako tayari kupoteza ilmradi kulinda amani. Hiki watawala wa ki Africa especially Tanganyika hawaioni.
 
Vibaraka wa udikteta uchwara ndio wanajiita wanahsrakati? Wanaharakati wa kulinda status quo? Hao ni vibaraka wapinga maendeleo, wakombi, wanafiki, wasaka tonge, ni wakandamizaji wa haki za wavuujajasho, wakulima, wafugaji, wafanyakazi, wavuvi, wanawake na watoto. Wanaharakati kama Tundu wanasaidia emancipation ya watu wa makundi yanayobagazwa, kutweka, kutekwa, kuuliwa, kufunguliwa mashitaka ya kubambika, kunyimwa ajirs, kubaguliwa, na kukandamizwa kwa haki zao
 
Back
Top Bottom