Wanaharakati wanataka kuizika Chadema kama NCCR Mageuzi?

Wanaharakati wanataka kuizika Chadema kama NCCR Mageuzi?

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
ANAANDIKA MHADHIRI WA CHUO KIKUU TUMAINI DR DLB

“Kinachoniumiza ni baadhi ya wanaChadema kutoliona hili la wanaharakati ambao siyo wana Chadema ndiyo wanaongoza mapambano ya kutaka Mbowe atoke, njia ile ile iliyotumika na wanaharakati kuimaliza NCCR Mageuzi ndiyo inataka kutumika kuipasua Chadema.

Na bahati mbaya sana baadhi ya wanaChadema bila kujua wameamua kuungana na wanaharakati hawa ambao kila ukiwasikiliza unaona wanataka kugawana fito.

Wanaharakati hawa waliiua NCCR na kutokomea mbali,wakamfukuza mpaka Mbatia na leo wameshindwa kuinyanyua NCCR na badala yake wapo bize na Chadema huku wakiwateka watu wenye ushawishi ndani ya chadema .

Hawa wakishamuangusha Mbowe,ndani ya miaka miwili watatandikana viboko na kuiacha chadema ikiwa gofu”.
 
ANAANDIKA MHADHIRI WA CHUO KIKUU TUMAINI DR DLB

“Kinachoniumiza ni baadhi ya wanaChadema kutoliona hili la wanaharakati ambao siyo wana Chadema ndiyo wanaongoza mapambano ya kutaka Mbowe atoke, njia ile ile iliyotumika na wanaharakati kuimaliza NCCR Mageuzi ndiyo inataka kutumika kuipasua Chadema.

Na bahati mbaya sana baadhi ya wanaChadema bila kujua wameamua kuungana na wanaharakati hawa ambao kila ukiwasikiliza unaona wanataka kugawana fito.

Wanaharakati hawa waliiua NCCR na kutokomea mbali,wakamfukuza mpaka Mbatia na leo wameshindwa kuinyanyua NCCR na badala yake wapo bize na Chadema huku wakiwateka watu wenye ushawishi ndani ya chadema .

Hawa wakishamuangusha Mbowe,ndani ya miaka miwili watatandikana viboko na kuiacha chadema ikiwa gofu”.
Halafu mwisho wa siku lawama wanaiangushia CCM utafikiri Maria Sarungi na Mwabukusi ni Wana CCM.
 
Mfahamu sultan ibn mbowe king'ang'anizi
IMG-20241206-WA0083(1).jpg
 
Hawa wanaharakati wangeanzisha chama chao tu - wamewaingiza mkenge CDM..matokeo yake kila mtu anajiona mwanaharakati - wanaropoka tu hovyo utafikiri chama hakina utaratibu...
 
ANAANDIKA MHADHIRI WA CHUO KIKUU TUMAINI DR DLB

“Kinachoniumiza ni baadhi ya wanaChadema kutoliona hili la wanaharakati ambao siyo wana Chadema ndiyo wanaongoza mapambano ya kutaka Mbowe atoke, njia ile ile iliyotumika na wanaharakati kuimaliza NCCR Mageuzi ndiyo inataka kutumika kuipasua Chadema.

Na bahati mbaya sana baadhi ya wanaChadema bila kujua wameamua kuungana na wanaharakati hawa ambao kila ukiwasikiliza unaona wanataka kugawana fito.

Wanaharakati hawa waliiua NCCR na kutokomea mbali,wakamfukuza mpaka Mbatia na leo wameshindwa kuinyanyua NCCR na badala yake wapo bize na Chadema huku wakiwateka watu wenye ushawishi ndani ya chadema .

Hawa wakishamuangusha Mbowe,ndani ya miaka miwili watatandikana viboko na kuiacha chadema ikiwa gofu”.
JokaKuu G Sam zitto junior
 
ANAANDIKA MHADHIRI WA CHUO KIKUU TUMAINI DR DLB

“Kinachoniumiza ni baadhi ya wanaChadema kutoliona hili la wanaharakati ambao siyo wana Chadema ndiyo wanaongoza mapambano ya kutaka Mbowe atoke, njia ile ile iliyotumika na wanaharakati kuimaliza NCCR Mageuzi ndiyo inataka kutumika kuipasua Chadema.

Na bahati mbaya sana baadhi ya wanaChadema bila kujua wameamua kuungana na wanaharakati hawa ambao kila ukiwasikiliza unaona wanataka kugawana fito.

Wanaharakati hawa waliiua NCCR na kutokomea mbali,wakamfukuza mpaka Mbatia na leo wameshindwa kuinyanyua NCCR na badala yake wapo bize na Chadema huku wakiwateka watu wenye ushawishi ndani ya chadema .

Hawa wakishamuangusha Mbowe,ndani ya miaka miwili watatandikana viboko na kuiacha chadema ikiwa gofu”.
NCCR Mageuzi ya Mrema,CUF ya Maalim Seif na sasa CHADEMA ya Mbowe havikufa/itakufa kwa bahati mbaya.
Mipango ilibunia,ikasukwa na ikatekelezwa hadi umauti ukavipitia vyama hivi.
Nani wameviuawa vyama hivyo na nani wanaendelea kuvihujumu vyama tishio?
Kila vyama shindani vikianza kuwa na muelekeo angalau hata wa kujitambua ndio utaanza kusikia minongono mara mpasuko ikifuatiwa na kifo cha chama.
Wengi wao wanatumika kujimaliza bila kutambua.
Swali la kujiuliza, vyama vilivyokufa lakini vina usajiri wa kudumu kwanini havifufuki tena?
Kwanini mtu aliyekuwa maarufu kwenye chama fulani lakini akihama chama mara nyingi umaarufu wake kisiasa unapungua au kwisha kabisa?
Mtego huu ni kwa Chadema,tegua mtego huu ili mjinusuru au jizamishe kwa shibe yenu wenyewe.
Team Lissu msibomoe chama.
 
ANAANDIKA MHADHIRI WA CHUO KIKUU TUMAINI DR DLB

“Kinachoniumiza ni baadhi ya wanaChadema kutoliona hili la wanaharakati ambao siyo wana Chadema ndiyo wanaongoza mapambano ya kutaka Mbowe atoke, njia ile ile iliyotumika na wanaharakati kuimaliza NCCR Mageuzi ndiyo inataka kutumika kuipasua Chadema.

Na bahati mbaya sana baadhi ya wanaChadema bila kujua wameamua kuungana na wanaharakati hawa ambao kila ukiwasikiliza unaona wanataka kugawana fito.

Wanaharakati hawa waliiua NCCR na kutokomea mbali,wakamfukuza mpaka Mbatia na leo wameshindwa kuinyanyua NCCR na badala yake wapo bize na Chadema huku wakiwateka watu wenye ushawishi ndani ya chadema .

Hawa wakishamuangusha Mbowe,ndani ya miaka miwili watatandikana viboko na kuiacha chadema ikiwa gofu”.
Chadema walipoungana na wanaharakati kumshambulia Jiwe ndio ndoa yao ikaanzia hapo Kigogo akataka kuwapeleka chaka wakashituka ila hawajajifunza
 
Mhadhiri wa hovyo kutoka chuo cha hovyo.
Kwa hiyo bila Mbowe CDM haipo?akifa leo Je?
Angeandika jina ili tumfahamu ni muadhiri yupi uskute ni wale wale tunaowajua wanawawekea watoto course work after U.E make hiko chuo wengine tunakijua in and out
 
Wote kasoro Heche hao wengine wote wametoka TLP au NCCR,kuna roho ya kuua vitu pengine bado haijawaacha,ndio maana ni muhimu kujua historia ya mtu unayetaka kumwamini au kumpa uongozi.
 
Back
Top Bottom