ANAANDIKA MHADHIRI WA CHUO KIKUU TUMAINI DR DLB
“Kinachoniumiza ni baadhi ya wanaChadema kutoliona hili la wanaharakati ambao siyo wana Chadema ndiyo wanaongoza mapambano ya kutaka Mbowe atoke, njia ile ile iliyotumika na wanaharakati kuimaliza NCCR Mageuzi ndiyo inataka kutumika kuipasua Chadema.
Na bahati mbaya sana baadhi ya wanaChadema bila kujua wameamua kuungana na wanaharakati hawa ambao kila ukiwasikiliza unaona wanataka kugawana fito.
Wanaharakati hawa waliiua NCCR na kutokomea mbali,wakamfukuza mpaka Mbatia na leo wameshindwa kuinyanyua NCCR na badala yake wapo bize na Chadema huku wakiwateka watu wenye ushawishi ndani ya chadema .
Hawa wakishamuangusha Mbowe,ndani ya miaka miwili watatandikana viboko na kuiacha chadema ikiwa gofu”.
“Kinachoniumiza ni baadhi ya wanaChadema kutoliona hili la wanaharakati ambao siyo wana Chadema ndiyo wanaongoza mapambano ya kutaka Mbowe atoke, njia ile ile iliyotumika na wanaharakati kuimaliza NCCR Mageuzi ndiyo inataka kutumika kuipasua Chadema.
Na bahati mbaya sana baadhi ya wanaChadema bila kujua wameamua kuungana na wanaharakati hawa ambao kila ukiwasikiliza unaona wanataka kugawana fito.
Wanaharakati hawa waliiua NCCR na kutokomea mbali,wakamfukuza mpaka Mbatia na leo wameshindwa kuinyanyua NCCR na badala yake wapo bize na Chadema huku wakiwateka watu wenye ushawishi ndani ya chadema .
Hawa wakishamuangusha Mbowe,ndani ya miaka miwili watatandikana viboko na kuiacha chadema ikiwa gofu”.