Pre GE2025 Wanaharakati wawe makini kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, CCM wamekosa hoja badala yake wananyamazisha wanaowakosoa

Pre GE2025 Wanaharakati wawe makini kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, CCM wamekosa hoja badala yake wananyamazisha wanaowakosoa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Matulanya Mputa

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2023
Posts
245
Reaction score
655
Mfano G. Malisa, Mwanamapinduzi Singida, kifupi polisi wameshapewa order toka juu kukamata wanaharakati wote ambao wanachipukia na wakosoaji wa serikali.

Hali hii itarudi kwa kasi kabla ya Uchaguzi wa Mkuu 2025 lengo ni kuwatoa watu kwenye mstari. Hivyo basi watu wawe makini katika shughuli za uharakati maana taa nyekundu imewashwa Magogoni.
 
Mf;G.Malisa ,Mwanamapinduzi Singida kifupi police wameshapewa order toka juu kukamata wanaharakati wote ambao wanachipukia na wakosoaji wa serikali hali hii itarudi kwa kasi kabla ya uchaguzi wa mkuu 2025 lengo kuwatoa watu kwenye mstari hivyo basi watu wawe makini, katika shughuli za uharakati manake taa nyekundu imewashwa magogoni.
#WAWE MAKINI NOT WAKE#
 
The guy is smart ,brilliant, ameleta positive outcome kwa lot of people ,

MTU potential kama huyu kumshikilia sifikirii Kama ni maamuzi ya busara .

I pray for him Malisa GJ God bless you.
People they love you .
 
Back
Top Bottom