Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mtu hai mwenye taarifa hai za Moses,aliyeishi miaka zaidi ya elfu 4 iliyopita,ni kupitia maandiko tu,Sasa kama mtu kagoma kusoma maandiko atajuaje habari za Moses!!!Niliwahi kusoma mahali pia kuhusiana na hili kuwa bwana Moses wenyeji wa kule Egypt hawana taarifa zake ila wasio wa kule ndo wana taarifa zake. Kivipi? Sijui
walifanikiwa kumchora YESU kufanana na mzungu,,,,sasa kwa MUSA wmwfeli ndo manake wameanza fitna!!Wana nzuoni (scholars) wakongwe wa historia na akiolojia wana kubaliana kwamba Moses anae tajwa kwenye bible na Qur'aan hajawahi ku- exist. Ni fictional character yani ni character wa kutungwa.
Wana sema there is no historical Moses. There is only biblical Moses.
Hata ukienda kwenye vitabu vya historia vya Egypt, hakuna records za mtu aitwae Moses kama ilivyo andikwa kwenye bible na Qur'aan.
Ngastuka na machale kundesa
Kuna imani ya kweli na imani ya uongo mkuu?Hata imani za uongo zipo pia mkuu
Absolutely trueWana nzuoni (scholars) wakongwe wa historia na akiolojia wana kubaliana kwamba Moses anae tajwa kwenye bible na Qur'aan hajawahi ku- exist. Ni fictional character yani ni character wa kutungwa.
Wana sema there is no historical Moses. There is only biblical Moses.
Hata ukienda kwenye vitabu vya historia vya Egypt, hakuna records za mtu aitwae Moses kama ilivyo andikwa kwenye bible na Qur'aan.
Ngastuka na machale kundesa
Mbona taarifa za Alexander the great zipo?Hakuna mtu hai mwenye taarifa hai za Moses,aliyeishi miaka zaidi ya elfu 4 iliyopita,ni kupitia maandiko tu,Sasa kama mtu kagoma kusoma maandiko atajuaje habari za Moses!!!
Ila urantia ina page kama 2097 hivi.Nimebakiza page mia 500 kati 25 elfu za Utantia book,nije niwaletee madini wavivu wakusoma.Vitu vingi tulivyojengwa navyo misingi yake ni paukwa pakawa.
Sasa unachagua za kuziamini!!!Mbona taarifa za Alexander the great zipo?
Story za musa na Mungu ni vipera vya hadithi tu mkuu , ukitembea Israel wanawashangaeni kushobokea mila zao ambazo wao wameshaziachaSasa unachagua za kuziamini!!!
Za Alexander sawa ila zingine NO
Ukitulia utagundua hao unaowaita waisrael sio Hawa wa kwenye bible.wale akina netanyahu ni wahamiaji tu.Story za musa na Mungu ni vipera vya hadithi tu mkuu , ukitembea Israel wanawashangaeni kushobokea mila zao ambazo wao wameshaziacha
Story za vijiwe vya kawaha mkuu ,tembelea hizo nchi utaona kabsa wapo tofauti na wazungu, japo wengi wamezaliana na wazungu, wengi wao ni ngumu kuwatofautisha na watu wa Irani.Ukitulia utagundua hao unaowaita waisrael sio Hawa wa kwenye bible.wale akina netanyahu ni wahamiaji tu.
Sasa habari za Mussa unaenda kuzitafutia misri uzipataeje? Mbona ni jambo lisilo na msingi kiasi hicho? Mambo ya israel katafute kwenye historia ya israel, nao kwa kias kikubwa wamepoteza kwa sababu ya kuhama hapa kwa maisha yao! Hata sanduku la agano liMepotea kwa sababu hizoWana nzuoni (scholars) wakongwe wa historia na akiolojia wana kubaliana kwamba Moses anae tajwa kwenye bible na Qur'aan hajawahi ku- exist. Ni fictional character yani ni character wa kutungwa.
Wana sema there is no historical Moses. There is only biblical Moses.
Hata ukienda kwenye vitabu vya historia vya Egypt, hakuna records za mtu aitwae Moses kama ilivyo andikwa kwenye bible na Qur'aan.
Ngastuka na machale kundesa
Kwani hujui kuwa story ya Mussa inasema Mussa alizaliwa Misri alikulia Misri na hakuwahi kufika IsraelSasa habari za Mussa unaenda kuzitafutia misri uzipataeje? Mbona ni jambo lisilo na msingi kiasi hicho? Mambo ya israel katafute kwenye historia ya israel, nao kwa kias kikubwa wamepoteza kwa sababu ya kuhama hapa kwa maisha yao! Hata sanduku la agano liMepotea kwa sababu hizo
Weee, nani Kwa kwambia chuo wanapiga viboko cjawai onaUzuri wa hivi vitu kuamini sio lazima ni option
Hakuna mtu atakaye kushikia panga kukulazimisha uamini kuwa Musa aliwahi kuwepo
Musa Maisha mengi ameishi misri, huko Israel Hata hakukanyaga kabisaSasa habari za Mussa unaenda kuzitafutia misri uzipataeje? Mbona ni jambo lisilo na msingi kiasi hicho? Mambo ya israel katafute kwenye historia ya israel, nao kwa kias kikubwa wamepoteza kwa sababu ya kuhama hapa kwa maisha yao! Hata sanduku la agano liMepotea kwa sababu hizo
Vitabu vya kiroho vina kasoro nyingi za kimwiliWana nzuoni (scholars) wakongwe wa historia na akiolojia wana kubaliana kwamba Moses anae tajwa kwenye bible na Qur'aan hajawahi ku- exist. Ni fictional character yani ni character wa kutungwa.
Wana sema there is no historical Moses. There is only biblical Moses.
Hata ukienda kwenye vitabu vya historia vya Egypt, hakuna records za mtu aitwae Moses kama ilivyo andikwa kwenye bible na Qur'aan.
Ngastuka na machale kundesa
Kwani shetani yupo?Sio Musa hata Yesu hajawawi kuwepo hizo ni habari za kutungwa ambapo biblia imekopi kutoka katika vitabu vingine na Quran imekopi ktk biblia
tag muhimuNimebakiza page mia 500 kati 25 elfu za Utantia book,nije niwaletee madini wavivu wakusoma.Vitu vingi tulivyojengwa navyo misingi yake ni paukwa pakawa.