Wanahistoria na akiolojia (Archeologist) " Moses did not exist

Nimebakiza page mia 500 kati 25 elfu za Utantia book,nije niwaletee madini wavivu wakusoma.Vitu vingi tulivyojengwa navyo misingi yake ni paukwa pakawa.

Mimi Nimekimaliza! Lakini bado huwa nakipitia mara kwa mara kuweka kumbukumbu sawa! Ni Bonge la Kitabu
 
Na hicho kitabu ulichosoma kimetungwa na hao hao waliotuletea hiz paukwa na pakawa au?

Nimebakiza page mia 500 kati 25 elfu za Utantia book,nije niwaletee madini wavivu wakusoma.Vitu vingi tulivyojengwa navyo misingi yake ni paukwa pakawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…