Wanahitajika Madereva 200 wa Malori

hadi huku mpo kumbe, daaaah mlinitapeli vibaya saba nyie jamaa ! 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
 
Ada ya usajili tunatuma kwa namba ipi?50,000 x 10,000 ,= 500,000,000 TSH. Mjini mipango
 
Source ya habari wapi wew unahusikia na utapeli wew ajira za watu 200 kweli usiweke jina la kampuni wala contacts ebu sepeni sio vzuri
Nimeweka source ya habari acha kulaumu watu usio wafahamu.
 
Na wewe ukaamua kuileta hii habari humu?.
Daah.kampuni haina jina?
Madereva 200 kwa wakati mmoja?😂😂.
Najua lengo lako ni zuri sanaa.tena sanaa.
Ila hao WAMEKUINGIZA CHAKA.
NI UTAPELI.achana nao
 
Dada wewe ni Agent wa kuwatafutia madereva makampuni ila hizo mambo za ajira 200 hazipo na pia ili Tangazo lako liwe na nguvu ungeweka jina la kampuni na pia tarehe ya usaili na wapi basi ili madereva waje na viambatanisho eneo la tukio mambo za kuweka namba za simu hii sio sawa kabisa..
Usiweke matangazo kama hauna uhakika na kampuni ipi itahitaji wafanyakazi..
 
Niko chini ya 30 ila nmeendesha oversize tairi 44 trip nlizopiga ni Stuttgart city(German) kwenda Tremola(Switzerland) kwa zaidi ya mwaka mmoja njia zenye milima na kona kali mizigo yenye tons 70+ vipi naweza kupata kazi?
Naijua hiyo ruti. Mwaka 2013 nilisafiri kutoka Zurich (Switzerland) hadi Tuttlingen (Germany).
 
Niko chini ya 30 ila nmeendesha oversize tairi 44 trip nlizopiga ni Stuttgart city(German) kwenda Tremola(Switzerland) kwa zaidi ya mwaka mmoja njia zenye milima na kona kali mizigo yenye tons 70+ vipi naweza kupata kazi?
Utapasuka wewe.
Labda upewe kazi ya kutembeza mabeseni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…