SMD
Member
- Oct 30, 2021
- 12
- 7
Kampuni ya SMAI Group Limited ambayo ni wamilikiwa SMAI Express na SMAI Delivery, wanahitaji vijana wasiopungua kumi kwa ajiri ya internship kwa kipindi hiki cha miezi mitatu ambayo wamezindua huduma mpya ya usafirishaji wa mizigo kutoka Dar kwenda nchi nzima na nchi jirani, pia Wamefungua offisi zao mpya ZANZIBAR kwa ajiri ya kutoa huduma ya kutuma na kupokea mizigo kutoka DAR kwenda Zanzibar .
Hivyo basi vijana hao wataweza kupata nafasi ya kufanya internship katika sehemu mbalimbali ikiwemo Customer service, sales and marketing representative, data entry n.k
Vigezo ni kuwa na akili timamu, elimu kuanzia form six, chuo au cheti nk umri 20 yrs.
Unaweza fika offisini kwao tarehe 22 hadi 24/2/2023. jengo la Binlsum Plaza, floor ya pili mtaa wa livingstone na Pemba.
Au piga simu number: 0677080939
IG: @smaiexpress na @smai.tz
www.smai.co.tz
www.app.smai.co.tz
Hivyo basi vijana hao wataweza kupata nafasi ya kufanya internship katika sehemu mbalimbali ikiwemo Customer service, sales and marketing representative, data entry n.k
Vigezo ni kuwa na akili timamu, elimu kuanzia form six, chuo au cheti nk umri 20 yrs.
Unaweza fika offisini kwao tarehe 22 hadi 24/2/2023. jengo la Binlsum Plaza, floor ya pili mtaa wa livingstone na Pemba.
Au piga simu number: 0677080939
IG: @smaiexpress na @smai.tz
www.smai.co.tz
www.app.smai.co.tz