Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Habari za jioni wadau, nahitaji watu wenye uzoefu wa kupanga magogo na kuchoma mkaa.
Pia nahitaji mtaalamu wa kutumia chainsaw.
Kazi iko Kilwa.
Karibuni.
Pia nahitaji mtaalamu wa kutumia chainsaw.
Kazi iko Kilwa.
Karibuni.