Jana katika mahojiano na EATV, P-square waliulizwa kuhusu mavazi ya diamond. Wakashangaa diamond ni nani na kusema hawajui kama alikuwepo.
Jana katika mahojiano na EATV, P-square waliulizwa kuhusu mavazi ya diamond. Wakashangaa diamond ni nani na kusema hawajui kama alikuwepo.
hahahahaaa nimecheka sana yale yale tulokuwa tunasema na snowhite
Fashion is not WHAT you wear HOW you wear........unaweza kununua nguo
kwa pesa nying but still usipendeze...ye ni mkali wa kuimba ila hako ka suruali hapana