Wanaigeria wamweka kiti moto diamond kwa kuvaa vibaya kwenye arusi ya peter wa p-square

Wanaigeria wamweka kiti moto diamond kwa kuvaa vibaya kwenye arusi ya peter wa p-square

Jana katika mahojiano na EATV, P-square waliulizwa kuhusu mavazi ya diamond. Wakashangaa diamond ni nani na kusema hawajui kama alikuwepo.

Umesemaaa??? Hahahaaaaa
 
Kiukweli kabisa p-square wamesema hawamjui diamond wala hakuna hata mmoja wao aliyeoa. Kwa wasanii wa bongo wamesema wanamjua AY na Mwana-fa.
 
Sasa mnataka kusema alivamia harusi ya watu bila mwaliko...wamjue wasimjue; kuna anayemjua na alomwalika...could be their manager kitu ambacho si cha hajabu kwa kazi za wasani; wasanii wakubwa kama hao sidhani kama ni kazi yao kuandaa list yooote ya nani aalikwe nani asialikwe...kwa vyoyote vile ameachieve kuwa mmoja wa wageni wa harusi ambayo hata wanaijeria wa kawaida walikuwa wanatamani kuhudhuria na wameshindwa.

Jana katika mahojiano na EATV, P-square waliulizwa kuhusu mavazi ya diamond. Wakashangaa diamond ni nani na kusema hawajui kama alikuwepo.
 
imenichekesha zaidi kina pquare walipohojiwa eatv juu ya diamond na kusema hawamjui den mtangazaji akapotezea................................huyu alipata mwaliko na inyanya coz issue iliyompeleka kule ni kufanya remix heee mara mgen mwalikwa ona sasa
 
jaman may b pltnmz exchanged his bag na ya mtt ndo mana akajikuta hana means zaidi ya kuvaa nguo alizokuta kwenye iyo bag aliyobadilishiwa!
 
Kweli Maisha yanaenda kasi sana.

Kipindi Hicho Diamond alikuwa hana Nyumba S.A , Ndio anajenga Madale, Hana Ofisi ya Wasafi , Hana Watoto , Hajakutana na Zari bado alikuwa na Wema. Hajulikani kimataifa.

Hakika ukijituma lazima utoboe within a short period of time.
 
Alijua kuitafuta kiki kama Harmorapa, na alifanikiwa kuongelewa sana
 
Mie namfagilia sana huyu lakini visuruali vyake vingi utadhani alivaa wakati akitoka jandoni, aachane navyo visuruali vya ajabu ajabu.

hahahahaaa nimecheka sana yale yale tulokuwa tunasema na snowhite

Fashion is not WHAT you wear HOW you wear........unaweza kununua nguo

kwa pesa nying but still usipendeze...ye ni mkali wa kuimba ila hako ka suruali hapana
 
Back
Top Bottom