Mhaya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 1,831
- 5,489
Tuache utani, Mziki ni kazi ngumu jamani kama hauna strategies thabiti.
Wanaijeria walalamika kuhusu ASAKE kubadilika muonekano na kuanza kufanana na watu wa kawaida japo kuwa ana mamilioni ya pesa kwenye Account za benki. ASAKE aliyezoeleka kuwa ni mtu wa fashion za kuvutia, siku hizi amekuwa mtu wa mavazi ya kawaida, huku wanaijeria wengi wakimshutumu kuwa anatumia madawa ya kulevya yanayompelekea kuonekana amechoka.
Asake alitoka kimziki kupitia beats za Amapiano ambazo zilimtambulisha duniani na kufanikiwa kujaza Arena kadhaa ughaibuni. Wanaijeria wengine wanadai Asake ana stress zinazompelekea kuonekana amechoka ukijumuisha na matumizi ya madawa ya kulevya.
Chanzo:
View: https://www.instagram.com/p/C5wK_t5sKsI/?igsh=MWJ4YnZ0bzF3MXQ4YQ==
Wanaijeria walalamika kuhusu ASAKE kubadilika muonekano na kuanza kufanana na watu wa kawaida japo kuwa ana mamilioni ya pesa kwenye Account za benki. ASAKE aliyezoeleka kuwa ni mtu wa fashion za kuvutia, siku hizi amekuwa mtu wa mavazi ya kawaida, huku wanaijeria wengi wakimshutumu kuwa anatumia madawa ya kulevya yanayompelekea kuonekana amechoka.
Asake alitoka kimziki kupitia beats za Amapiano ambazo zilimtambulisha duniani na kufanikiwa kujaza Arena kadhaa ughaibuni. Wanaijeria wengine wanadai Asake ana stress zinazompelekea kuonekana amechoka ukijumuisha na matumizi ya madawa ya kulevya.
Chanzo:
View: https://www.instagram.com/p/C5wK_t5sKsI/?igsh=MWJ4YnZ0bzF3MXQ4YQ==