Wanajamii Forums mmesusia nyuzi zangu

Nitapata tabu sana kwa hali hii, hata ninapohitaji kutiwa moyo, hamasa na ushauri juu ya jambo fulani, naishiwa kutazamwa tu [emoji24][emoji24][emoji24]

Hakika nimeumaliza mwendo

Nasubiri maoni:
pole sana ndugu,inawezekana pumba zilizidi.
 
Nashangaa sana kwani watu wanaota naniliu...ngoja niende kwa mshanajr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…