Wanajamii,shukrani na oneni feedback ya mradi niliouanzisha kwa ushauri wenu

Wanajamii,shukrani na oneni feedback ya mradi niliouanzisha kwa ushauri wenu

Hongera sana wewe na washauri.

Tutaiga na sisi kaka.

Puppy,asante sana na karibu sana,unaweza pata milioni 10 kwa mwaka ukikomaa na project hii
 
Mkuu Pawaga hiyo tarehe hapo juu haijafika. Hongera kwa mafanikio
 
Hongera....ngoja niitafute thread yako uliyoombea ushauri ili na mimi nipate A,B,C za huo mradi

Kama anao huo uzi afanye kuattach hapa ili tuweze kujikumbusia na kujifunza
 
Mkuu chamlungu asante sana nimesharekebisha..

Mkuu labda kuturahisishia ungeweka tittle ya hiyo thread ya awali ili na sisi tuipitie tupate mwanga!hongera sana kwa kua focused mkuu!
 
Mkuu labda kuturahisishia ungeweka tittle ya hiyo thread ya awali ili na sisi tuipitie tupate mwanga!hongera sana kwa kua focused mkuu!

Mkuu 1800 nimeweka title yake mbona,soma vzur thread yangu. Shine mie natumia simu hvyo kuweka link au kuipaste hapa siwez ila naomba uitafute kwa title yake ambayo nimeiweka hapo
 
Hongera sana na pongezi kwani wa TZ wachache wanachukua ushauri na kuweka kwenye vitendo.
Wa TZ maswali mengi na siasa tu lkn utekelezaji mdogo.
Big up Pawaga
 
Last edited by a moderator:
Mkuu 1800 nimeweka title yake mbona,soma vzur thread yangu. Shine mie natumia simu hvyo kuweka link au kuipaste hapa siwez ila naomba uitafute kwa title yake ambayo nimeiweka hapo

Asante sana mkuu,ni kweli sikua makini kuangalia,ila nimeiona!kwa hiyo mkuu soko kuu ni wapi kwa hiyo kitu?nimependa sana ulivyochukua wazo na kulifanyia kazi in a successful way!nahitaji kujifunza mengi toka kwako mkuu!plz inbox me ur number mkuu
 
Hongera sana mkuu, nilichelewa kuona thread hii. Pamoja saana.
 
Asante sana mkuu,ni kweli sikua makini kuangalia,ila nimeiona!kwa hiyo mkuu soko kuu ni wapi kwa hiyo kitu?nimependa sana ulivyochukua wazo na kulifanyia kazi in a successful way!nahitaji kujifunza mengi toka kwako mkuu!plz inbox me ur number mkuu

Mkuu 1800,soko lake ni nje nje kbs yan halisumbui kwa kuwa wanahitajika kila sehem japokuwa mimi cjaanza kulitafuta maana lengo ni kuzalisha kuku 1000 hapo hata nikiuza kwa sh 9000 kwa kuku maana yake nina ten millions. Uwezekano wa kuzalisha idadi upo kbs,imagine toka novemba mpaka sasa wamafika 164 sasa nao wakianza kutaga itakuwa 150*7=1050 plus wazaz na jogoo,.
 
Hongera sana mkuu, nilichelewa kuona thread hii. Pamoja saana.

Pamoja kiongozi platozoom,yan inaonyesha upo deep sana ktk sekta hii maana ulidadavua sana ktk thread yangu ileee,nitakusumbua sana kila ninapohitaj msaada wako
 
Oh hongera sana inatia moyo, mie nilijifunzia ratio ya majogoo kwa mitetea kwenye thread yako, nami nitawapa feedback ninavyoendelea.keep it up
 
Pamoja kiongozi platozoom,yan inaonyesha upo deep sana ktk sekta hii maana ulidadavua sana ktk thread yangu ileee,nitakusumbua sana kila ninapohitaj msaada wako

Pamoja karibu tena.
 
Amen Amen na Mungu azidi kukutia nguvu. Binafsi naomba ushauri juu ya banda la kuku, linatakiwa liwe na ukubwa gani kama unataka kuanza na kuku chotara 20 kwa ajli ya mayai na kwa ajili ya kutotolesha baadaye? Pia ni aina gani ya mbegu inayafaa kwa shughuli hiyo yaani kuku type gani? Asante.
 
Heshima kwenu wadau natumaini humu sitakosa ushauri kutokana na uzoefu wa kibiashara walionao wadau mbalimbali humu jukwaani
-kwa kweli mimi ni mwanafunzi wa chuo fulani hapa jijini dar es salaam na nimebahatika kupata mkopo japo ni kidogo..
hivyo nimeamua nipige shule huku nikijiendeleza kiuchumi kwani hata ada kiasi fulani natoa mimi mwenyewe
-frame ninayo tena bure(haiitaji kodi) na friji lipo
hivyo naomba ushauri wa kuanzisha mradi huu kwa mtaji wa shilingi 250000
pia izingatiwe nitahitaji mtu wa kumlipa kwani nitakuwa naendelea na masomo.
nitashukuru kwa michango yenu
 
pole kaka, nahisi haukuwahi kuwapa chanjo ya ndui mpema ndo maana wanafanya hivyo. unatakiwa uwawahi na chanjo hiyo ya ndui au chicken pox kaka.
 
Back
Top Bottom