πππLeo mmeamkaje kwanzaNa warembo wote humu ndani ni NEGATIVE Hawana STIs
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukipauza hapa utakunywa wiski na tekila kweli kweli. Landukruza na kama unavyodai utakula matunda kwa masihara!
Ila siku utakumbuka mbege ya bure....naona midizi hapo
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]Leo mmeamkaje kwanza
JamiiForums ya waoi hiyo?Humu hakuna makapuku wala-vumbi. Ni mtandao wa mataita wenye pesa chafu.
Huwezi kukuta mshiriki wa jamiiforums anamiliki vigari vya hovyo hovyo kutoka china...
Tatzo hata sipafahamu huko unapozungumziamawazo ya wanaume wa Kinondoni
Sio tatizoKumiliki landcruiser ni tatizo?
Hauna LANDCRUISER mkuu?ACHA KUTUKAANGIA SUMU MKUU, WENGINE HATUNA HATA BAISKELI HUMU.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eeeeeHapana jobless wa kimataifa nipo humu ndani, Sina chochote hata ngozi yangu inaisha.
[emoji117]Nina sura mbaya kama kopo la chooni.
[emoji117]Sina kazi, Wala kibarua
[emoji117]Nimenusurika kufa Γ200kisha walionikoa nikawatukana.
[emoji117]Mimi ni omba omba jeuri, Kama hauna kitambulisho Cha nida usiniambie.
Sasa?Sio tatizo
Ya humu.JamiiForums ya waoi hiyo?
Fresh tuSasa?
asante [emoji23]Division food
eeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shenzi! Mi mwenyewe hapa nilipo ni HOUSE BOY sina hata baiskeli halafu unasema wote tuna gari!!!
Duuh [emoji16][emoji16][emoji16]Labda nyie..Mimi namiliki private jet na nipo zangu kimya