Wanajamvi, anayejua kwa undani mgogoro na mapigano yanayoendelea huko Sudani, naomba atueleweshe

Wanajamvi, anayejua kwa undani mgogoro na mapigano yanayoendelea huko Sudani, naomba atueleweshe

Vibaraka wa marekani waliopo jeshini wameshindwa kuheshimu matakwa ya raia ya kuachia uchaguzi huru na wa haki kufanyika baada ya kutolewa kwa serikali ya awali.

Jeshi wamesema badala ya miaka miwili wanataka wasubirie hadi miaka 10 ipite hapo ndipo kuzungumkuti na kitimutimu kilipoanzia sasa.
 
Ndio yake yale ya kulaumu USA kwenye mambo yenu, hiyo Sudan kwanza ya mwarabu...

Haya tuambieni USA yuko upande upi kati ya hao wawili ili tujiandae kushabikia, na nyie muangukie upande wa pili, mambo mengi muda mchache.
Inaonesha kama WAARABU wamekufanyia ile kitu mbaya..........
 
Yes, kinachoendelea pale ni Marekani kaamua kumwaga mboga baada ya kuona serikali iliyoko pale haimtaki.

Tuwe wavumilivu hatujui Urusi atachukua hatua gani juu ya hao magaidi ya ndani yanayoshirikiana na magaidi wa kimataifa/ U S A
mnapounda hoja muwe mnafikiria kwanza , Serikali ndo ilianza vamia kambi za waasi na sio waasi kuivamia serikali , the same story mnasema kwa Ukraine na Russia nq hamuangalii kuwa Russia ndo kaivamia Ukraine kwanza
 
Vibaraka wa marekani waliopo jeshini wameshindwa kuheshimu matakwa ya raia ya kuachia uchaguzi huru na wa haki kufanyika baada ya kutolewa kwa serikali ya awali.

Jeshi wamesema badala ya miaka miwili wanataka wasubirie hadi miaka 10 ipite hapo ndipo kuzungumkuti na kitimutimu kilipoanzia sasa.
kwan Marekan anasapot waasi au serikali ?
 
Kwa ufupi...huu mgogoro unapata trace kwenye Darfur War..2003 huko.
Mnakumbuka kipindi kile palikuwa na wale jamaa wanaitwa Janjaweed-Kikundi cha kipigani upande wa serikali lkn nje ya jeshi..kilichoundwa na waafrika waliojifanya waarabu pamoja na waarabu wenyewe..Kikundi hiki ndio kilikuwa ingine ya Omari Ally Bashiri..

Baada ya vita kikabadirishwa jina na kuwa Rapid Support Force...lkn kikakataa kuingizwa kwenye mfumo rasmi ya jeshi. Kikundi hiki kilishirikiana na jeshi kumpindua Omar 2019 (Ingawa pia hawa ni kama wapo upande wa Bashiri hadi leo).

Baada ya Bashiri kupinduliwa kikundi hiki kimekataa maridhiano ya kujiingiza kama moja ya vikosi vya serikali..sababu kinaogopwa kitapotez influence na nguvu, pili hawa jamaa RSF wanalipwa mishahara na Wizara ya Fedha moja kwa moja sio kupitia wizara ya Ulinzi, hivyo kuingizwa huko watapoteza hizo favours.

Pia mkuu wa hiki kikundi na mkuu wa jeshi rasmi...wanautofauti wa nani atapaswa kuwa mkuu wa majeshi..kama kitaingia kama kitakuwa sehemu ya Jeshi.

Pia hiki kikundi- hakitaki utawala wa kiraia 100%..Wanataka jeshi libaki na nguvu na say..kama ilivyo sasa na ilivyokuwa baada ya mapinduzi..

Ukiangalia hapo, ugomvi huu chanzo ni:
Pesa, madaraka, ushawishi, wizi..

Kunataarifa kuwa kimetumika na mataifa ya Ulaya..ili kuzuia Jeshi kuwapatia Urusi sehemu ya kujenga base...
 
RSF wanafadhiliwa na Urusi sio Ulaya wala Marekani.
Kwa ufupi...huu mgogoro unapata trace kwenye Darfur War..2003 huko.
Mnakumbuka kipindi kile palikuwa na wale jamaa wanaitwa Janjaweed-Kikundi cha kipigani upande wa serikali lkn nje ya jeshi..kilichoundwa na waafrika waliojifanya waarabu pamoja na waarabu wenyewe..Kikundi hiki ndio kilikuwa ingine ya Omari Ally Bashiri..

Baada ya vita kikabadirishwa jina na kuwa Rapid Support Force...lkn kikakataa kuingizwa kwenye mfumo rasmi ya jeshi. Kikundi hiki kilishirikiana na jeshi kumpindua Omar 2019 (Ingawa pia hawa ni kama wapo upande wa Bashiri hadi leo).

Baada ya Bashiri kupinduliwa kikundi hiki kimekataa maridhiano ya kujiingiza kama moja ya vikosi vya serikali..sababu kinaogopwa kitapotez influence na nguvu, pili hawa jamaa RSF wanalipwa mishahara na Wizara ya Fedha moja kwa moja sio kupitia wizara ya Ulinzi, hivyo kuingizwa huko watapoteza hizo favours.

Pia mkuu wa hiki kikundi na mkuu wa jeshi rasmi...wanautofauti wa nani atapaswa kuwa mkuu wa majeshi..kama kitaingia kama kitakuwa sehemu ya Jeshi.

Pia hiki kikundi- hakitaki utawala wa kiraia 100%..Wanataka jeshi libaki na nguvu na say..kama ilivyo sasa na ilivyokuwa baada ya mapinduzi..

Ukiangalia hapo, ugomvi huu chanzo ni:
Pesa, madaraka, ushawishi, wizi..

Kunataarifa kuwa kimetumika na mataifa ya Ulaya..ili kuzuia Jeshi kuwapatia Urusi sehemu ya kujenga base...
 
Back
Top Bottom