mpendwaeric
Member
- Feb 19, 2018
- 10
- 5
nina wazo zuri kabisa na nimeliandika la kuanzisha kiwanda cha juisi ambayo ninaimani inahitajika sana tu ila shida mwenye mtaji wa kumshirikisha (wafanyabiashara wakubwa) nani nimuone maana naogopa kudhulumiwa wazo na watu.
Nani naweza kumfata au nikashirikiana naye tukafanya ndoto kuwa kweli??
Nani naweza kumfata au nikashirikiana naye tukafanya ndoto kuwa kweli??