mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 23,169
- 9,054
Unaumia toka chooni???!¡
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaumia toka chooni???!¡
Banaga pua as if ww unataka kufa![emoji12]Uongo. .....uongo ....uongo
Hakuna jipya hapo wana 10,000 wakati Urusi wanao 23,000 sasa objectively sijui unajaribu kuprove nnTakribani wanajeshi elfu kumi (10000) wa Urusi wamejisalimisha kwa Ukraine kutoka mwezi wa tisa-2022, baada ya Ukraine kuanzisha kampeni inayojulikana kama nataka kuishi ambapo askari hupiga au kuchati kwenye kituo kinachoratibu mpango huo, akikamilisha taratibu huchukuliwa na kupelekwa kwenye kambi ya wafungwa wa kivita.
===
Almost 10,000 Russian soldiers 'surrendered' via 'I Want to Live' hotline.
Almost 10,000 Russian soldiers have contacted Ukraine's dedicated surrender helpline since September to give themselves up, according to Ukraine's Coordinating Headquarters for the Treatment of Prisoners of War (CHTPW).
The 24/7 project, named "I Want to Live", allows enemy combatants to contact an operator via phone or chatbot and be transferred to a prisoner-of-war camp.
A report published by CHTPW said more than 14 million people have visited the website, 84% of whom were based in Russia.
"In addition to the Russian military, their relatives and loved ones contact the hotline," the agency wrote on Telegram.
"Often mobilised Russians who arrived in Ukraine as part of the occupying army do not have access to the internet."
SKY NEWS
![]()
Ukraine war latest: Macron convening emergency meeting as US and Russian officials head to peace talks
French President Emmanuel Macron is convening emergency talks on the war in Ukraine with European leaders and NATO, as US officials head to Saudi Arabia for peace talks. It comes as Starmer warns against "divisions" in the alliance.news.sky.com
Ndivyo hali ilivyo ata ukichukia wenzako wamechagua kuishi kuliko kwenda kufa chini ya mtu ambaye hajali maisha yao
Duh, kwahiyo NATO ndo hao wazee na watoto jamani...!!! Na kamanda wao hao NATO ndo huyo mzee uliemtaja hapo Zelensiki....???? Kwahiyo NATO ni kundi la wazee na watoto na walikuwa wakipigana kulinda Bakimuti et bwashee?Ungejua huo mji ulivyokuwa unalindwa na NATO wala usingeandika huo ujinga. Zelensiky ameapa mala nyingi sana kuwa hawataweza ku afford kuupoteza huo mji, alisema watapigana kufa na kupona kuulinda huo mji usipotee. Lakini the end of it., umeshamegwa tayari
Eeh, bwashee wewe ndiye mlinzi wa magereza ya Urusi...??? Kwanza umemsikia Chongolo?Hakuna jipya hapo wana 10,000 wakati Urusi wanao 23,000 sasa objectively sijui unajaribu kuprove nn
Source: LGBTQ clowns🤣🤣🤣Takribani wanajeshi elfu kumi (10000) wa Urusi wamejisalimisha kwa Ukraine kutoka mwezi wa tisa-2022, baada ya Ukraine kuanzisha kampeni inayojulikana kama nataka kuishi ambapo askari hupiga au kuchati kwenye kituo kinachoratibu mpango huo, akikamilisha taratibu huchukuliwa na kupelekwa kwenye kambi ya wafungwa wa kivita.
===
Almost 10,000 Russian soldiers 'surrendered' via 'I Want to Live' hotline.
Almost 10,000 Russian soldiers have contacted Ukraine's dedicated surrender helpline since September to give themselves up, according to Ukraine's Coordinating Headquarters for the Treatment of Prisoners of War (CHTPW).
The 24/7 project, named "I Want to Live", allows enemy combatants to contact an operator via phone or chatbot and be transferred to a prisoner-of-war camp.
A report published by CHTPW said more than 14 million people have visited the website, 84% of whom were based in Russia.
"In addition to the Russian military, their relatives and loved ones contact the hotline," the agency wrote on Telegram.
"Often mobilised Russians who arrived in Ukraine as part of the occupying army do not have access to the internet."
SKY NEWS
![]()
Ukraine war latest: Macron convening emergency meeting as US and Russian officials head to peace talks
French President Emmanuel Macron is convening emergency talks on the war in Ukraine with European leaders and NATO, as US officials head to Saudi Arabia for peace talks. It comes as Starmer warns against "divisions" in the alliance.news.sky.com
Wa NATO wameuwawa na wengine wameshakimbia kitambo, hao wazee na watoto wameingizwa cha kikeDuh, kwahiyo NATO ndo hao wazee na watoto jamani...!!! Na kamanda wao hao NATO ndo huyo mzee uliemtaja hapo Zelensiki....???? Kwahiyo NATO ni kundi la wazee na watoto na walikuwa wakipigana kulinda Bakimuti et bwashee?
Ebu Urusi, kamateni haraka sana huyo mzee Zelensiki kamanda wa wazee na watoto hao wa NATO, mfungulieni kesi ya kuwatesa wazee na watoto hao wa NATO sawa
Inavyoonekana wewe ni mtata kweli, lakini tangazo la Chongolo linakuhusu bwasheeWa NATO wameuwawa na wengine wameshakimbia kitambo, hao wazee na watoto wameingizwa cha kike
Hauna akili timamu, yaani umfungulie kesi Zelensky na majaji wanateuliwa na marekani?Wa NATO wameuwawa na wengine wameshakimbia kitambo, hao wazee na watoto wameingizwa cha kike
Alichoongea Chongolo kina make sense. Sasahivi watu wengi wanaomaliza vyuo vikuu ndio wanaoongoza kwa uzezeta mitaani, sasahivi bora vyuo vyote vikuu vibadilishwe viwe vyuo vya VETAInavyoonekana wewe ni mtata kweli, lakini tangazo la Chongolo linakuhusu bwashee
Umeona ee, vyuo vikuu vinafundisha maadili ya nje like ushoga na usherati tuAlichoongea Chongolo kina make sense. Sasahivi watu wengi wanaomaliza vyuo vikuu ndio wanaoongoza kwa uzezeta mitaani, sasahivi bora vyuo vyote vikuu vibadilishwe viwe vyuo vya VETA
Naona mmeanza kuodogesha baada ya hali kua mbayaHivi kale kamji maarufu Kwa chumvi mmeshakachukua?.mbona sielewi.
Bakhmut iko wapi?Naona mmeanza kuodogesha baada ya hali kua mbaya
Hule ni mjii wenye utajiri wa viwanda ukraine
Hule ni mji wenye mahandaki makubwa kuliko mji wowote ukraine
Hule ni mji tajiri ww chumvi na mvinyo ukraine
Na ndio maana comedian zele alisema ataulinda kwa gharama yoyote lakini sasa upo kama ulivyo kua soleder tunasubiri siku aukabdhi kwq matamshi rasmi kama alivyo fanya soleder maana teyari bakhmut iko chini ya wagner tangu sasa.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
They die for putin and not for themselvesHawana babu yakufa, nakubaliana na wao! yeye Putin mtoto wake yuko vitani? and why should you die?