Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Haja ya kuleta habari ipo kwasababu siyo Kila mmoja ana taarifa hizo. Halafu tuwekee ushahidi wa hao wanajeshi wengi wa Israeli walioingia Lebanon.Wanajeshi wengi wameingia Lebanon hao 14 ni wachache sanaa hakukuwa na haja hata kuleta habari
Idadi ya vifo kwa Hizbullah au Hamas sio habari kwasababu ya udogo wao kwa kila kitu, lakini kwa Israel hata awe mmoja iNAKUWA NI HABARI. Siku Israel akipigana na nchi nyingine basi hato ndipo weka ulinganifu wa takwimu.Leta na idadi ya Hezbollah waliokufa tulimganishe, watu na mapenzi yenu kwa magaidi
Haja ya kuleta habari ipo kwasababu siyo Kila mmoja ana taarifa hizo. Halafu tuwekee ushahidi wa hao wanajeshi wengi wa Israeli walioingia Lebanon.
Ninyi akili zenu ndio mmeziruhusu zitawaliwe na udini, Si kila siku mnajitapa hapa kuwa Hezbollah ina silaha kuizidi au kulinganisha kabisa na Israel? Leo imekuaje Tena unaishusha hadhi kiasi hikiIdadi ya vifo kwa Hizbullah au Hamas sio habari kwasababu ya udogo wao kwa kila kitu, lakini kwa Israel hata awe mmoja iNAKUWA NI HABARI. Siku Israel akipigana na nchi nyingine basi hato ndipo weka ulinganifu wa takwimu.
Pia iruhusu akili yako iwe huru bila kuongozwa na mihemko ya kidini
Hii Hali itatulia najuwa Bado upo kwenye panic mode kijana.Ninyi akili zenu ndio mmeziruhusu zitawaliwe na udini, Si kila siku mnajitapa hapa kuwa Hezbollah ina silaha kuizidi au kulinganisha kabisa na Israel? Leo imekuaje Tena unaishusha hadhi kiasi hiki
Kipigo mnachopata sio rahisi kusimulia, angalia population ya wayahudi na waarabu ndio mjue kuwa mmeshindwa dhidi yao,Hii Hali itatulia najuwa Bado upo kwenye panic mode kijana.
😯😯😯Wanajeshi wengi wameingia Lebanon hao 14 ni wachache sanaa hakukuwa na haja hata kuleta habari
Mimi sio mtoto kama wewe tuanze kulinganisha vitu vya kijinga.Leta na idadi ya Hezbollah waliokufa tulimganishe, watu na mapenzi yenu kwa magaidi
14 ni wengi sana kwa mpigo hiyo inashusha molality.Wanajeshi wengi wameingia Lebanon hao 14 ni wachache sanaa hakukuwa na haja hata kuleta habari
Umeandika pumba na Bado unajiona mtu mzimaMimi sio mtoto kama wewe tuanze kulinganisha vitu vya kijinga.
Nimeona kamanda wa hii Unit kafyekwaHezbollah waliwawekea mtego wakaingia wakawaangamiza papo hapo video inaonyesha maiti zikibebwa kwa helkopter ya kijeshi
[emoji298]️What happened today morning in South Lebanon?
A clash occurred between Israel's special Egoz unit from the Golani Brigade and Hezbollah militants in southern Lebanon, specifically in the village of Adaysseh, where the 98th Division was fighting. Initially, fears of a kidnapping were denied by the Israeli army. However, leaked Hebrew comments suggested that a kidnapping did occur, but the Israeli forces managed to recover the body amid heavy gunfire and airstrikes.
During a complex medical evacuation, Hezbollah continued firing mortars and heavy gunfire at the Israeli forces. So far, the Israeli army has notified the families of three soldiers killed, including a company commander. Leaks on Telegram claim that 9 Eguz unit soldiers and 1 Golani Brigade soldier were killed, while Sky News reported 14 total deaths. Confirmation is pending.
View: https://x.com/SuppressedNws/status/1841458986274501096?t=8KVeoofnJ9qU1UaxQ8q7tg&s=19
Israeli sources told Sky News:
[emoji1134][emoji1146] 14 Israeli soldiers were killed and 35 injured in clashes in southern Lebanon.
Israeli soldiers are facing Hezbollah's Redwan unit.
View attachment 3113237
Sijui ni wangapi ila walijaa kwenye mtego wakapigwa msako14 ni wengi sana kwa mpigo hiyo inashusha molality.
Mimi siyo mwarabu ila naisapoti PalestinaKipigo mnachopata sio rahisi kusimulia, angalia population ya wayahudi na waarabu ndio mjue kuwa mmeshindwa dhidi yao,
BBC Wamesema amekufa mmoja Capt Eitan Yitzhak Oster age 22 nikajiuliza hivi hawa BBC wana akili kweli??? mwanajeshi anakufaje mmoja tena ndio kamanda wa Iile platoon?? alikua anacommand nani mpaka auwawe yeye wakati yeye anakua kwenye Command Post??aliokuawa anawaamuru washambulie na wasonge mbele most likely ndio wangeuwawa.....Sasa nyie wakuresh wa Nyandira muwe na kauli moja tujue wanajeshi wangapi wa Israel wamekufa. Wewe Mangi umesema 14, Harmonize wa Jf yeye kaleta uzi kasema 30 na kulikiwa na uzi wa Ritz yeye kasema 10 na aliufuta muda. Malaria 2 yeye kasema 7 ilhali FaizaFoxy yeye kasema 80 wameuawa. Sasa tupeni kauli moja na muwe mnasoma na kupitia nyuzi kabla hamjapost nyingine kwani mnatujajazia server tu humu JF.
Mimi pia sio muyahudi ila naisapoti IsraelMimi siyo mwarabu ila naisapoti Palestina
Utawaweza hao wavaa magagulo??Sasa nyie wakuresh wa Nyandira muwe na kauli moja tujue wanajeshi wangapi wa Israel wamekufa. Wewe Mangi umesema 14, Harmonize wa Jf yeye kaleta uzi kasema 30 na kulikiwa na uzi wa Ritz yeye kasema 10 na aliufuta muda. Malaria 2 yeye kasema 7 ilhali FaizaFoxy yeye kasema 80 wameuawa. Sasa tupeni kauli moja na muwe mnasoma na kupitia nyuzi kabla hamjapost nyingine kwani mnatujajazia server tu humu JF.
Update:Majeruhi ni 60
Miaka miliwi nyuma tulikuwa numeaminishwa na tukaamini kuwa israel ndye anaongoza kwa mfumo wa ulinzi wa anga na hakuna kombora linaweza penyeza na kugusa ardhi ya ahadi walioyohaidiwa wayahudi na Mungu.
Leo hii imekuwa kama story ya pwagu na pwaguzi.