Wapo kwenye kikao wanajadili namna ya kuwakimbia Hizbollah huko kaskazini tangu jana hospitali zimezidiwa na casualties. Askari waliuawa ni wengi kwa siku 2 hizi huko North wakijaribu kuingia Lebanon.
Kamwe Israel haiwezi Hizbollah kwa vita ya ardhini yeye anachoweza ni kurusha mabomu kwa kutumia ndege baaasi.
Free Palestine, Viva Iran
Kamwe Israel haiwezi Hizbollah kwa vita ya ardhini yeye anachoweza ni kurusha mabomu kwa kutumia ndege baaasi.
Free Palestine, Viva Iran