Shida yako hauruhusu akili yako ifikirie nje ya boksi.Kipigo mnachopata sio rahisi kusimulia, angalia population ya wayahudi na waarabu ndio mjue kuwa mmeshindwa dhidi yao,
Ndiomaana ya taifa teule, hatakama ingetumia wanajeshi zaidi ya million Bado waarabu kwa population yao hawawezi kuifuta Israel, iwe kwa msaada wa marekani au wa yeyoteShida yako hauruhusu akili yako ifikirie nje ya boksi.
Hiyo Israel unayosemea inapigana na makundi ya washika silaha wenye limited weapons hao kina Hamas na Hizbollah.
Na bado wanafeli hao Israel,hivi unajua Israel ilitumia wanajeshi laki 5 kupambana na wanamgambo elfu 28 wa Hamas!?
Je mateka waliokolewa!?
Halafu Israel ipo hapo kwa fadhila za USA,UK, Germany na France.
Haya mataifa ndio yanamkingia sana kifua mzayuni.
Laa sivyo angeshatoweka hapo.
HIzbollah kumshambulia tu USA katuma jeshi na msaada wa kijeshi wa $ 8 billions.
Je angepigana na nchi kama Iraq!?
Vijana wetu wapo busy kushangilia vita, huku wakiwa hawajui athari zake kwa uchumi wa dunia. Leo hii tunanunua mafuta ya petrol na dizeli kwa shilingi 3000+ kwa lita! Na wakati kabla ya vita ya Urusi na Ukraine, bei ya lita moja ilikuwa ni nusu ya hii bei ya sasa.Usichokijua mdogo wangu ni kuwa haya unayoshabikia impact yake itakugusa pakubwa haswa!
We chekelea tu mauwaji na kuchafuka kwa hali ya hewa huko middle east
Myahudi mweusi wa Liwale ume comment kinyonge sana,Wanajeshi wengi wameingia Lebanon hao 14 ni wachache sanaa hakukuwa na haja hata kuleta habari
Tuwatafutie uwanja mpigane basi nyie Wayahudi na wapalestina wa JF.Mimi pia sio muyahudi ila naisapoti Israel
Lakini mkuu, mbona wanasema Israel ana watu wengi sana hapo Lebanon na inaonyesha analifahamu pia hilo eneo huoni ngoma itakuwa tough pande zote?Kwa hii vita ya Ground Israel watapoteza wanajeshi wengi sana...Kwanza Hizbollah wanajua hilo eneo vizuri wamekua wanajiandaa kwa muda mrefu kukabiliana na aina hii ya vita . Israel aweza kuwa ananunua taarifa za kijasusi na kuwaua Makamanda wa Hizbollah kwa kutumia madege na missile nzito nzito ila Infatry ni tofauti watapigwa sana.
Yesu alivaa hivyohivyo,gagulo na kobaziUtawaweza hao wavaa magagulo??
Kutwa nzima wanashinda na magagulo yao
Ni Askari 8 wameuwawa na 7 wamejeruhiwa.Sasa nyie wakuresh wa Nyandira muwe na kauli moja tujue wanajeshi wangapi wa Israel wamekufa. Wewe Mangi umesema 14, Harmonize wa Jf yeye kaleta uzi kasema 30 na kulikiwa na uzi wa Ritz yeye kasema 10 na aliufuta muda. Malaria 2 yeye kasema 7 ilhali FaizaFoxy yeye kasema 80 wameuawa. Sasa tupeni kauli moja na muwe mnasoma na kupitia nyuzi kabla hamjapost nyingine kwani mnatujajazia server tu humu JF.
Na ndio haohao wanaotuambia mwanajeshi 1 wa Israel ni sawa na wanajeshi 50+ wa mataifa mengine, sa kwa nini 14 anaona wachache?Unataka wakifa wangapi hivi ndio walete habari?
Watu na mapenzi yenu na Israel, hamjambo kwa kweli
Ila alikuwa na akili kuliko nyie wavaa vipedo bila chupiYesu alivaa hivyohivyo,gagulo na kobazi
BBC gani unaangalia? mbona wanasema ni 8?BBC Wamesema amekufa mmoja Capt Eitan Yitzhak Oster age 22 nikajiuliza hivi hawa BBC wana akili kweli??? mwanajeshi anakufaje mmoja tena ndio kamanda wa Iile platoon?? alikua anacommand nani mpaka auwawe yeye wakati yeye anakua kwenye Command Post??aliokuawa anawaamuru washambulie na wasonge mbele most likely ndio wangeuwawa.....
Ukweli ni kwamba Mhanga mkubwa kwenye vita ni Ukweli na nmdio maana Israel na Marekani ni waongo mnooo yaani na media zote wanazimiliki wao..
Kikao ni cha Ayyatolah, wanataka wamfuate humour kwenye mashimo.Wapo kwenye kikao wanajadili namna ya kuwakimbia Hizbollah huko kaskazini tangu jana hospitali zimezidiwa na casualties. Askari waliuawa ni wengi kwa siku 2 hizi huko North wakijaribu kuingia Lebanon.
Kamwe Israel haiwezi Hizbollah kwa vita ya ardhini yeye anachoweza ni kurusha mabomu kwa kutumia ndege baaasi.
Free Palestine, Viva Iran
Siyo gagulo tena!?Ila alikuwa na akili kuliko nyie wavaa vipedo bila chupi
Mtoto wa kiume unajuaje kua wanaume wenzako hua hawavai chupi? Tena unaongea kwa kujiamini kabisa! Au ndio tayari watu wanajipitia tu kwenye njia alizopita Pi diddy?Ila alikuwa na akili kuliko nyie wavaa vipedo bila chupi