Wanajeshi 14 wa Israel waangamizwa wakijaribu kuingia Lebanon

Ni Askari 8 wameuwawa na 7 wamejeruhiwa.

Source:Aljazeera English.
Al jazeera si wanatoa zinazotolewa na idf,14 ilikua mpaka saa saba,na walipigwa ambush nyingine,kikosi maalumu chote kikaliwa kwa bomu la kutega
 
Al jazeera si wanatoa zinazotolewa na idf,14 ilikua mpaka saa saba,na walipigwa ambush nyingine,kikosi maalumu chote kikaliwa kwa bomu la kutega
We umetoa wapi au uko frontline?! Weka source.
 
We umetoa wapi au uko frontline?! Weka source.
Nenda telegram,ukisubiri tv utachelewa, resistance trench, middle east spectator nk, taarifa za jioni ni kampani nzima ya idf imekua neatralized leo
 
Download telegram kisha hizo akaunti nilizokupa,huwezi, endelea kusubiri times of israel
Mashirika yote ya Habari yanasema ni Askari 8 wewe na wenzako mnakuja na fake numbers
 
Magaidi wa Israel,waliomuua Yesu,wanakula kichapo,na Yesu atarudi tena,awape kichapo kitakatifu.
 
Mashirika yote ya Habari yanasema ni Askari 8 wewe na wenzako mnakuja na fake numbers
Hata walipomuua Yesu,Qur'an ndio ilisema ukweli kuwa hawakumuua,ila alipaishwa kwenda mbinguni,baada ya kuomba kwa Mungu wake,kikombe cha mauti,kimuepuke.
 
Hata walipomuua Yesu,Qur'an ndio ilisema ukweli kuwa hawakumuua,ila alipaishwa kwenda mbinguni,baada ya kuomba kwa Mungu wake,kikombe cha mauti,kimuepuke.
Quruani imeandikwa miaka 500 baada ya tukio la Yesu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…