Wanajeshi 30 wa Marekani wahofiwa kufa baada meli yao kulipuliwa

Wanajeshi 30 wa Marekani wahofiwa kufa baada meli yao kulipuliwa

Ayatolah ni hatari hata kwa Waisilamu wa Madhehebu ya Sunni kwa mfano huko Yemen ameiondoa Serikali halali ya Sunni katika Mji Mkuu wa Sanaa.
Yemen Ina mgawanyo karibu sawa kimadhehebu,na Iran Ina bifu na saudia
 
Meli ya kimarekani haiwezi kupigwa kindezi hivyo lazima ina mifumo ya ulinzi inayopangua hiyo mikombora ya magaidi hata kabla hayajaifikia go to hell with your fake news
 
In reality ni kutangaza Ushia.
No,buffer zone,hasa kwa Iran,maana ana adui USA na kidosho wake Israel,so akiwa na ushawishi kwa nchi nyingi zinazomzinguka,inakua poa,si unaona houthi wanachofanya huko baharini
 
No,buffer zone,hasa kwa Iran,maana ana adui USA na kidosho wake Israel,so akiwa na ushawishi kwa nchi nyingi zinazomzinguka,inakua poa,si unaona houthi wanachofanya huko baharini
MAyatolah walimuondoa Shah wa Iran kwa Mapinduzi na wao wajue tu iko siku wataondoshwa kwa Mapinduzi.
 
Habari zilizotufikia hivi punde meli ya Kijeshi ya Marekani ya USS Libert imepigwa na makombora ya Iran nakulipuliwa huko Ghuba ya uajemeni na wanajeshi 30 wanahofiwa kufa

BREAKING: It's reported that American Navy intelligence vessel 'USS Liberty' has just been hit with a barrage of Iranian missiles off the coast of Bahrain in the Persian Gulf.

Over 30 American salilors are feared dead


........hii ni April....

View attachment 2951919
Middle east inazidi kuchangamka, kule US ELECTION, HUKU RUSSIA ELECTION, HUKO UKRO ELECTION POSTPONED, HAPA ISRAEL ELECTION POSTPONED.

2024 kuna mengi sana muhimu kwa Dunia
 
Back
Top Bottom