Wanajeshi 320 wa Sudan wakimbilia Chad wakitoroka mapigano nchini mwao

Wanajeshi 320 wa Sudan wakimbilia Chad wakitoroka mapigano nchini mwao

Afrika yahitaji amani. Sasa kama wanadundana kisa madaraka tu, hiyo Afrika continental free trade itawezekana kweli?

Hao wakae mezani waelewane.
 
RSF na Jenerali Hemdit wana damu za maelfu ya raia wa Darfur kwenye mikono yao Ila hata jeshi la Sudan sio wema pia.......acha wauane tu Ila kama RSF watashindwa itakuwa heri, japo raia wa kawaida watateseka na nchi kuyumba.

T14 Armata
Ubaya wa nchi za Afrika Kaskazini zinaingiliana masuala binafsi. Karibia majirani wote waliwahi pigana au wana mgogoro.
Hao wanajeshi wa Sudan walio-defect wanalindwa na sheria za kimataifa, hata Marekani kwenye vita ya Vietnam kuna wanajeshi waligoma kupigana kwamba hawakuwa wanaona logic ya kwenda Vietnam. Walitoroka wakaenda Canada na hawakulazimishwa kurudi
 
Ila waafrika tunatia aibu sana
 
Ndio.....Vita haina mwenyewe ukizidiwa unakimbia tu, roho haina 'spare'.
Ahaaa. kumbe ndo maana jeshini wanafundishwa na kufanya mazoezi ya kukimbia siyo? 🏃‍♂️ 🏃‍♂️ 🏃‍♂️
 
Hao wanamgambo wemepewa mafunzo na Wagner group kutoka Russia,na vile vile walipewa mafunzo na jeshi la sudani wakati wa mapigano ya darful
Khee! Wagner group(PMC) baadaye watawapeleka hao wanafunzi -wanamgambo mafunzo kwa vitendo (Field practicals) huko Ukraine ndipo watajua kwamba Ukraine sio jangwani.
 
Nimejikuta nacheka badala ya kusikitika. Wanajeshi gani hao wanaowakumbia mgambo? Wanajeshi walioapa kufa kwa kuitetea nchi yao wanatoroka kuwakimbia mgambo!

Vv
 
Nimejikuta nacheka badala ya kusikitika. Wanajeshi gani hao wanaowakumbia mgambo? Wanajeshi walioapa kufa kwa kuitetea nchi yao wanatoroka kuwakimbia mgambo!

Vv
Hao ni Sungusungu waliokomaa sana na kupewa tuzo la kuitwa jina la Wanajeshi. Kazi yao kubwa ni kukimbiza au kufukuzana na wezi/vibaka mtaani na sio eti washike AK 47 kukabiliana kujibu mapigo. 😀 😀 😀
 
Back
Top Bottom