Mpandisha mishahara
JF-Expert Member
- Mar 1, 2014
- 1,742
- 1,558
Uhamiaji ni Idara, polisi ni jeshi lakini pia kufananisha hizi Taasisi na kumtafuta Superior ni upuuzi kuliko Rushwa yenyewe.Jwtz wanajiheshimu na hawana maujinga kama majeshi mengine na wao wamenyooka straight forward na hawataki utani. Mimi mtu akiniambia eti uhamiaji, police ni jeshi nakataa maana wao ndio wahalifu number one wanaokula rushwa na uchafuzi mwengine
Uhamiaji imeshakuwa jeshi Sasa hivi, kamili na hao police ndio wahalifu wenyewe na hapa hatulinganishi ila tunaangalia uadilifu kitu ambacho kiko jeshini pekeeUhamiaji ni Idara, polisi ni jeshi lakini pia kufananisha hizi Taasisi na kumtafuta Superior ni upuuzi kuliko Rushwa yenyewe.
Sent from my iphone using JamiiForums mobile app
Uhamiaji bado ni Idara, pia hapo ulipo katika kutekeleza majukumu yako lazima muwe na itikadi tofauti za kitabia na kimaadili japo mnasimamia muongozo mmoja.Uhamiaji imeshakuwa jeshi Sasa hivi, kamili na hao police ndio wahalifu wenyewe na hapa hatulinganishi ila tunaangalia uadilifu kitu ambacho kiko jeshini pekee
JWTZ ni Jeshi letu bora kabisa la kujivunia, kama ilivyo vyombo vyetu vyote vingine vya ulinzi na usalama. Ukijenga hoja kuhusu taasisi usipende fallacy generalization. Hizo taasisi nyingine ulizozitaja kirahisi zina kazi kubwa mno kwa ajili ya usalama wa nchi na raia. Kosoa tuhuma za maadili za mtu siyo taasisi maana taasisi haiwezi kupanga uovu.Salaam Wakuu,
1. Kipindi cha Kikwete, Wanasiasa walipelekwa JKT kujifunza Uzalendo na Maadili. Hii napendekeza iendelee kwa Mawaziri, Wakurugenzi, Makatibu wakuu, Wakuu wa Wilaya na Mikoa.
2. Polisi, Usalama wa Taifa na Askari wa amani, Waende JWTZ kujifunza kwanini Wanaogopwa lakini JWTZ ni rafiki wa raia.
3. Polisi, Usalama wa Taifa na Askari wa amani, Wajiulize kwanini JWTZ hawapokei Rushwa.
4. Vyombo vya Usalama vyote, Vijifunze JWTZ kwanini hawajihusishi na Siasa na kujipendekeza kwa Wanasiasa
5. Wanajeshi ni Kimbilio la Wananchi, nini siri ya Urembo? Majeshi mengine yakajifunze.
Majeshi yetu yangekuwa na Utii na weledi wa kama JWTZ, Nchi yetu ingekuwa Tajiri.
Majeshi yetu yajitathimini kwa manufaa ya Nchi ya Tanzania.
View attachment 2023974
Nimeipenda hiyi ngoja niitengezee logoHata kwenye maisha usiruhusu watu wakujue sana,watakudharau!!!
Kwahyo uhamiaji na police itikadi zao mojawapo ni rushwa na kutokufata maadili ya kazi?Uhamiaji bado ni Idara, pia hapo ulipo katika kutekeleza majukumu yako lazima muwe na itikadi tofauti za kitabia na kimaadili japo mnasimamia muongozo mmoja.View attachment 2024208
Sent from my iphone using JamiiForums mobile app