Wanajeshi kupiga watu mtaani inakuwaje?

Wanajeshi kupiga watu mtaani inakuwaje?

LA7

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
655
Reaction score
2,369
Haya matukio ya raia kupigwa na wanajeshi mtaani hutokea pale ambapo mwanajeshi mwenzao kafanyiwa kitendo kibaya na watu wasiojulikana hasa labda imetakea mwenzao kaibiwa, kaumizwa, kauliwa, nk.

Nimewahi shuhudia matukio haya ambayo yaliwafanya watu kuishi kama wakimbizi maeneo ya Dar Kigamboni na Arusha.
 
haya matukio ya RAIA kupigwa na wanajeshi mtaani hutokea pale ambapo mwanajeshi mwenzao kafanyiwa kitendo kibaya na watu wasio julikana has a

labda imetakea mwenzao kaibiwa,kaumizwa,kauliwa, nk.

nimewahi shuudia matukio haya ambayo yaliwafanya watu kuishi kama wakimbizi maeneo ya dar kigamboni na arusha

Unazungumzia miaka ya 80-90 ila si kwa wakati huu wa digital.
 
Sio wote Nina Wana kitambo depo hawako ivyo mwanajeshi ni mtu mpole sana ila GUSA unase Nina Wana wajeda nishawai Hadi kuwa KWENYE mahusiano na mwanamke mjeda bakabaka wanajeshi ni peacefully people sana ingawa mtu akiwa mshamba Kwa kuvaa gwanda ankuwa fala ila most of them they are peacefully wanna chezea sana tope na vumbi ila wanajeshi(jwtz)ni wapole wale ni watu wa gusa unase
 
Ni kuweka heshima.... Nenda shuleni kumshitaki mwalimu, uone Ofisi nzima itakavyomtetea. Nenda kwa Ndugu zetu Mapolisi, tunisha mbavu na mwenzao mmoja, watapigiana simu waje kupiga. Hata we mwenyewe, umetoka na masera, mtu anatoka atokako anampiga mmoja wenu. Kifatacho ni kumshambulia nyote haijalishi ana nguvu kiasi gani.
 
Nyie ni wapumbavu na wewe ulioandika hii QUATATION PIA NI MJINGA UNAWEZA KWENDA DEPO WEWE MPUMBAVU MJINGA UNAWEZA JE UNAWEZA?HESHIMU WATU USIONE MTU KAVA GWANDA HALFU UKAMCHUKULIA OYAOYA HUO NI UJINGA KAMA KUNA MPUMBAVU MMOJA USIWAITE WOTE WAPUMBAVU UTAKUJA KUJUTA WATU WAMESOTA HALAFU UNAWAITA WAPUMBAVU BE BRAVE NA KAMA WEWE BRAVE UNGEETA JESHINI MSIDHARAU WATU MTANYOOOSHWA
 
Nyie ni wapumbavu na wewe ulioandika hii QUATATION PIA NI MJINGA UNAWEZA KWENDA DEPO WEWE MPUMBAVU MJINGA UNAWEZA JE UNAWEZA?HESHIMU WATU USIONE MTU KAVA GWANDA HALFU UKAMCHUKULIA OYAOYA HUO NI UJINGA KAMA KUNA MPUMBAVU MMOJA USIWAITE WOTE WAPUMBAVU UTAKUJA KUJUTA WATU WAMESOTA HALAFU UNAWAITA WAPUMBAVU BE BRAVE NA KAMA WEWE BRAVE UNGEETA JESHINI MSIDHARAU WATU MTANYOOOSHWA
mh mbona kama na wewe ni mhusika unaufahamisha umma kuwa kilichoandikwa hapa ni kweli?
 
haya matukio ya RAIA kupigwa na wanajeshi mtaani hutokea pale ambapo mwanajeshi mwenzao kafanyiwa kitendo kibaya na watu wasio julikana has a

labda imetakea mwenzao kaibiwa,kaumizwa,kauliwa, nk.

nimewahi shuudia matukio haya ambayo yaliwafanya watu kuishi kama wakimbizi maeneo ya dar kigamboni na arusha
Nawatetea huwa siyo Wakorofi ila Sisi Raia kuna muda ni kama vile huwa tunawapima au kuwachokoza hivyo na Wao kutuchenjia na kutupa Kipigo cha kutuweka sawa Kiakili na Kinidhamu.

Huwezi amini kwa jinsi ninavyoheshimiana na Kushibana nao ( japo Mimi ni Raia tu wa Kawaida ) ila kukiwa na Mechi katika Runinga ( Television ) hutumwa Maaskari ws chini kuja Ghettoni Kwangu Uraiani Kuniita na nikaangalie Mesini Kwao ambapo nikienda huwa nakuta wameniwekea na Kiti changu na tunatizama Fabo / Ndiki / Mpira pamoja.

Wanajeshi wa Tanzania ni Wastaarabu hakuna mfano ukilinganisha na Wanajeshi wa nchi zingine zote za Maziwa Makuu.

Acheni ( tuache ) Kuwajaribu, Kuwachokoza na Kuwadharau na kamwe hutoona wakiwa na shida nawe tena ndiyo Watakupenda na Kukuheshimu mno hadi Utashangaa.

Poleni kwa mliopokea Vipigo vyao!!!!!
 
Nyie ni wapumbavu na wewe ulioandika hii QUATATION PIA NI MJINGA UNAWEZA KWENDA DEPO WEWE MPUMBAVU MJINGA UNAWEZA JE UNAWEZA?HESHIMU WATU USIONE MTU KAVA GWANDA HALFU UKAMCHUKULIA OYAOYA HUO NI UJINGA KAMA KUNA MPUMBAVU MMOJA USIWAITE WOTE WAPUMBAVU UTAKUJA KUJUTA WATU WAMESOTA HALAFU UNAWAITA WAPUMBAVU BE BRAVE NA KAMA WEWE BRAVE UNGEETA JESHINI MSIDHARAU WATU MTANYOOOSHWA
Povu la nini mkuu?!!kwani hao wenye vyeo kuanzia nyota moja kwenda juu hawakwenda depo?mbona ni waelewa sana kulinganisha na hao OYA OYA(Elimu ndogo hasa wenye form 4)?wanaoleta shida mtaani wote ni hao OYA OYA!!kwanini?ila wale wanaojitambua maafisa hawana hizo,hata akikosewa atatumia busara tu,kulimaliza tatizo!!siku moja nipo nasafiri nikawakuta njiani wa 2, wakataka lifti kwa nguvu yaani wapo kwenye geti la maliasili eti wamelifunga ili nisimame kwa nguvu!!nasimama namuuliza vipi anajibu tupe lift nikawaambia kwenda wapi?!!heee ananijibu unakoenda wewe tena kwa ukali kwani waliona nimekasilika,nikawaambia mbona mimi nimeshafika?!!wakati huo mmoja ameshapanda kwenye gari tayari!!!wakati huo geti wamelifungua gari nimeweka pembeni!!wakaanza vitisho mi niko kimya tu,jamaa akashuka,nikaenda kwenye hotel pembeni nikapata chakula,baadaye nikatia gia nikaondoka zangu.waliangalia kwa jicho hilo!!!Ule umwamba ndio ulinifanya nisiwape lifti!!!ELIMU,ELIMU!!Na huo ubabe sio kwa miaka hii,mbona wanafukuzwa sana kazi na kufungwa jela!!
 
Nyie ni wapumbavu na wewe ulioandika hii QUATATION PIA NI MJINGA UNAWEZA KWENDA DEPO WEWE MPUMBAVU MJINGA UNAWEZA JE UNAWEZA?HESHIMU WATU USIONE MTU KAVA GWANDA HALFU UKAMCHUKULIA OYAOYA HUO NI UJINGA KAMA KUNA MPUMBAVU MMOJA USIWAITE WOTE WAPUMBAVU UTAKUJA KUJUTA WATU WAMESOTA HALAFU UNAWAITA WAPUMBAVU BE BRAVE NA KAMA WEWE BRAVE UNGEETA JESHINI MSIDHARAU WATU MTANYOOOSHWA
[emoji15][emoji15][emoji15]
 
Back
Top Bottom