haya matukio ya RAIA kupigwa na wanajeshi mtaani hutokea pale ambapo mwanajeshi mwenzao kafanyiwa kitendo kibaya na watu wasio julikana has a
labda imetakea mwenzao kaibiwa,kaumizwa,kauliwa, nk.
nimewahi shuudia matukio haya ambayo yaliwafanya watu kuishi kama wakimbizi maeneo ya dar kigamboni na arusha
Njoo upigane na mimi.basi nikunvunje meno hayoNitakuja kusimulia jinsi nilivyopigana na meja KS wa kikosi cha 24 mpaka kanal Nying..... akaingilia nisimuumize meja
mh mbona kama na wewe ni mhusika unaufahamisha umma kuwa kilichoandikwa hapa ni kweli?Nyie ni wapumbavu na wewe ulioandika hii QUATATION PIA NI MJINGA UNAWEZA KWENDA DEPO WEWE MPUMBAVU MJINGA UNAWEZA JE UNAWEZA?HESHIMU WATU USIONE MTU KAVA GWANDA HALFU UKAMCHUKULIA OYAOYA HUO NI UJINGA KAMA KUNA MPUMBAVU MMOJA USIWAITE WOTE WAPUMBAVU UTAKUJA KUJUTA WATU WAMESOTA HALAFU UNAWAITA WAPUMBAVU BE BRAVE NA KAMA WEWE BRAVE UNGEETA JESHINI MSIDHARAU WATU MTANYOOOSHWA
Nawatetea huwa siyo Wakorofi ila Sisi Raia kuna muda ni kama vile huwa tunawapima au kuwachokoza hivyo na Wao kutuchenjia na kutupa Kipigo cha kutuweka sawa Kiakili na Kinidhamu.haya matukio ya RAIA kupigwa na wanajeshi mtaani hutokea pale ambapo mwanajeshi mwenzao kafanyiwa kitendo kibaya na watu wasio julikana has a
labda imetakea mwenzao kaibiwa,kaumizwa,kauliwa, nk.
nimewahi shuudia matukio haya ambayo yaliwafanya watu kuishi kama wakimbizi maeneo ya dar kigamboni na arusha
Pale karibu Na Brigade ya 303KV?Nakumbuka. Eneo wanaita Duka bovu Arusha.
Walipachoma moto kabisa.
Povu la nini mkuu?!!kwani hao wenye vyeo kuanzia nyota moja kwenda juu hawakwenda depo?mbona ni waelewa sana kulinganisha na hao OYA OYA(Elimu ndogo hasa wenye form 4)?wanaoleta shida mtaani wote ni hao OYA OYA!!kwanini?ila wale wanaojitambua maafisa hawana hizo,hata akikosewa atatumia busara tu,kulimaliza tatizo!!siku moja nipo nasafiri nikawakuta njiani wa 2, wakataka lifti kwa nguvu yaani wapo kwenye geti la maliasili eti wamelifunga ili nisimame kwa nguvu!!nasimama namuuliza vipi anajibu tupe lift nikawaambia kwenda wapi?!!heee ananijibu unakoenda wewe tena kwa ukali kwani waliona nimekasilika,nikawaambia mbona mimi nimeshafika?!!wakati huo mmoja ameshapanda kwenye gari tayari!!!wakati huo geti wamelifungua gari nimeweka pembeni!!wakaanza vitisho mi niko kimya tu,jamaa akashuka,nikaenda kwenye hotel pembeni nikapata chakula,baadaye nikatia gia nikaondoka zangu.waliangalia kwa jicho hilo!!!Ule umwamba ndio ulinifanya nisiwape lifti!!!ELIMU,ELIMU!!Na huo ubabe sio kwa miaka hii,mbona wanafukuzwa sana kazi na kufungwa jela!!Nyie ni wapumbavu na wewe ulioandika hii QUATATION PIA NI MJINGA UNAWEZA KWENDA DEPO WEWE MPUMBAVU MJINGA UNAWEZA JE UNAWEZA?HESHIMU WATU USIONE MTU KAVA GWANDA HALFU UKAMCHUKULIA OYAOYA HUO NI UJINGA KAMA KUNA MPUMBAVU MMOJA USIWAITE WOTE WAPUMBAVU UTAKUJA KUJUTA WATU WAMESOTA HALAFU UNAWAITA WAPUMBAVU BE BRAVE NA KAMA WEWE BRAVE UNGEETA JESHINI MSIDHARAU WATU MTANYOOOSHWA
[emoji15][emoji15][emoji15]Nyie ni wapumbavu na wewe ulioandika hii QUATATION PIA NI MJINGA UNAWEZA KWENDA DEPO WEWE MPUMBAVU MJINGA UNAWEZA JE UNAWEZA?HESHIMU WATU USIONE MTU KAVA GWANDA HALFU UKAMCHUKULIA OYAOYA HUO NI UJINGA KAMA KUNA MPUMBAVU MMOJA USIWAITE WOTE WAPUMBAVU UTAKUJA KUJUTA WATU WAMESOTA HALAFU UNAWAITA WAPUMBAVU BE BRAVE NA KAMA WEWE BRAVE UNGEETA JESHINI MSIDHARAU WATU MTANYOOOSHWA