Tetesi: Wanajeshi wa Tanzania na wenzao wa SADC Washikiliwa Mateka kama Mateka wa Vita na Wanamgambo wa M23 huko Goma

Tetesi: Wanajeshi wa Tanzania na wenzao wa SADC Washikiliwa Mateka kama Mateka wa Vita na Wanamgambo wa M23 huko Goma

Watekwe na wauwawe haswa huku mtaani wanaojifanya miungu kupiga watu kalazimisha mambo kutembea na wake za watu kisa jeshi huko ndipo sehemu ya kujitambia sio mtaani uwanja wa fisi
 
Tuombe Mungu hii habari isiwe ya kweli

Duniani kwa lugha za kimataifa yaani zile tusizozielewa kama English, French, Arabic , Spanish kuna habari ambazo sisi huku Tanzania hatuzipati kwa maana kuzielewa hivyo kupitwa na mengi, tukisubiri kusimuliwa na wanasiasa kama mawaziri kwa nusu ya robo.
 
Duniani kwa lugha za kimataifa yaani zile tusizozielewa kama English, French, Arabic , Spanish kuna habari ambazo sisi huku Tanzania hatuzipati kwa maana kuzielewa hivyo kupitwa na mengi, tukisubiri kusimuliwa na wanasiasa kama mawaziri kwa nusu ya robo.
CCM waliua Elimu yenu kwa makusudi ili muwe wajinga na wawatawale vizuri
 
Wewe zaidi ya kutype kwenye key board hujui kitu. Uliishawahi hata kupita, JKT? wakati wa vita ya Uganda ulikuwepo?
Vita ya uganda ya zamani ndio unajitambia leo kweny dunia ya sayansi na teknolojia
 
Hii issue ni serious sana. Nilitegemea hivi sasa hatua dhidi ya Rwanda zingekuwa zimeshaanza kuchukuliwa maana ushahidi upo wazi kuwa wanajeshi wa Rwanda zaidi ya 4000 walivuka mpaka kuingia Goma na kuiteka. So it's obvious Wanajeshi wetu waliouliwa waliuliwa na Wanajeshi wa Rwanda na Hawa waliotekwa wametekwa na Jeshi la Rwanda kwa mgongo huu wa M23.
Kagame ujeuri wake utafika pomomi soon
 
Hii aibu tumejitakia wenyewe, it's about time mfumo wa recruitment ubadilike. Hii kuingiza watu jeshini kwa vimemo, kuokota vijana kutoka UVCCM wasio na sifa na kuwageuza wajeda kuwa chawa ndiyo products hizo zinazodhihirisha udhaifu wa jeshi letu. Yaani hata TISS huwa wanazoa kutoka UVCCM not like the way it used to be back in the day ambapo vetting and scrutiny was thorough.
Tujitathmini.
Kwa sasa hakuna Vetting bali kuna rasha rasha. Back then …. vetting zilikuwa ni very tough process and scary !

Kwa mfano, hata ukiangalia Vetting za GSO kwa watumishi…. Unajiuliza mtu anateuliwa leo , in two days anatumbuliwa kwa kigezo kulikuwa na makosa kwenye file au file lilichomekwa.

Sasa Uzembe huu umeingia jeshini na TISS….hata teuzi nyingi za state house ni vimemo yaani Rais ataamini kauli za Katibu wake na wasaidizi….. ukizinguana na hao…. Huwezi kutoboa

Ipo shida kubwa kwenye system nzima .
 
Umeandika upumbavu. Wewe sio Mtanzania.
Uchawa ulianza kipindi cha JPM, back then tulikuwa na vijana smart snaa . Vijana ambao ilikuwa akisimama anahojiwa…. Utamsikia ** Serikal ya Tanzania imekusudia kuboresha miundombinu**
Vijana wa sasa utasikia * Samia ataboresha miundombinu *
 
Wataalamu kijeshi, utambuzi (intelejensia) ya kijeshi na intelejensia ya kiraia wanasema mkusanyiko huo wote wa mikakati, silaha, utaalamu, matayarisho mazito ya upande wa serikali ya Tshisekedi jirani na mpaka wa Rwanda

07 March 2025

Vita DRC: Jenerali Maarufu wa Rwanda Atoa Shutuma Nzito Dhidi ya Tanzania​


View: https://m.youtube.com/watch?v=NGms-mCWFlE
Makala hii inahusu shutuma nzito zilizotolewa na Jenerali maarufu wa Rwanda ambaye pia ni Waziri mwandamizi, jenerali mstaafu James Kabarege dhidi ya Tanzania kuhusiana na vita inayoendelea huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo....

Source : JasusiTV
 
Kagame ukiendekeza mazungumzo na yeye ndo anakupanda kichwani. Huyu dawa yake ni kumfanyia mafia tu na baadae kumpotezq kabisa.
Usijidanganye Kagame anaongoza nchi ndogo ila Tz hamna jeshi la kumpiga, ana Long range missiles anao uwezo wa kurusha kombora kutoka Kigali hadi Dar na likaenda kupiga target effectively, muulize Kikwete alipojaribu kutaka vita na Kagame baada ya uchunguzi kitu gani kilimrudisha nyuma akaamua kutumia busara na kumalizia hasira kwa kuwafukuza wa Rwanda Tz
 
Hujui ulisemalo.Jeshi letu halijaenda pale kupigana vita bali kulinda Amani.So waliwanyangany'a silaha wakiwa so innocent.
Mbona walienda na silaha kama hawajaenda kwaajili ya vita? Acha propaganda cheap
 
Back
Top Bottom