Wanajeshi wa Uingereza watuhumiwa kubaka na kutelekeza Watoto Kenya

Wanajeshi wa Uingereza watuhumiwa kubaka na kutelekeza Watoto Kenya

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
KENYA: Baadhi ya Wanawake wanaoishi karibu na Kambi ya Mafunzo ya Kijeshi inayoongozwa na Jeshi ls Uingereza ya BATUK wamelalamikia kutelekezwa na Wanajeshi wanaotuhumiwa kuwabaka na kuwaachia Watoto bila msaada wowote

Kwa mujibu wa ripoti ya CNN, mamia ya Wanawake wameandika malalamiko hayo kwenda Serikali ya Uingereza na Jeshi la nchi hiyo wakitaka kujua hatma juu ya Haki zao tangu mwaka 2011

Pia, imeelezwa kuwa tayari Kamati ya Bunge ya Ulinzi na Uhusiano wa Mambo ya Nje inaendelea na uchunguzi kuhusu tuhuma zilizotolewa na Wananchi juu ya Kambi hiyo na itaanza kuwasikiliza Maafisa wake mwisho wa mwezi Juni 2024

Aidha, ripoti inaonesha Serikali ya Uingereza inailipa Kenya takriban Tsh. Bilioni 1 kila mwaka kwaajili ya kibali cha kuruhusu Wanajeshi wake kuweka kambi kufanya mazoeazi nchini humo.
=======÷

Pia Soma:

- Wanajeshi wa Uingereza nchini Kenya walazimishwa kufanya Mapenzi bila kinga

 
Ila Kenya ni hatari hasa wanawake
Angalia hata kwenye social media karibia zote wamejaa na wanajiachia sana hawajari chochote yaani
 
Ila Kenya ni hatari hasa wanawake
Angalia hata kwenye social media karibia zote wamejaa na wanajiachia sana hawajari chochote yaani
Ukipita huko ticktock, Stripchat na Chaturbate na media za ngono unaweza ukute wakenya zaidi ya 100 wapo live wanajiweka madude na mavidole kwenye mbususu. Hadi unajiuliza hivi serekali yao haijali au ndio Umarekani umewazidi.
 
Ukipita huko ticktock, Stripchat na Chaturbate na media za ngono unaweza ukute wakenya zaidi ya 100 wapo live wanajiweka madude na mavidole kwenye mbususu. Hadi unajiuliza hivi serekali yao haijali au ndio Umarekani umewazidi.
Kama mtandaoni iko hivyo sijui huko nchini kwao hali ikoje aisee
 
Wanajeshi na polisi wajichunge kweny maadili , taarifa ya ukweli hapa Tz wanajeshi ndio walisambaza HIV kwa sana baada ya kuutoa kule uganda walipoenda kweny vita ya Iddi Amini.
 
Ukipita huko ticktock, Stripchat na Chaturbate na media za ngono unaweza ukute wakenya zaidi ya 100 wapo live wanajiweka madude na mavidole kwenye mbususu. Hadi unajiuliza hivi serekali yao haijali au ndio Umarekani umewazidi.
Dubai na Turkey wadada wauza mbukunyu 80% ni wakenya
 
Wanajeshi wa Uingereza waliopo nchini Kenya wamelalamikiwa na raia kwa matendo ya ubakaji, mauaji pamoja na uharibifu wa mazingira .Wanajeshi hao ambao wanaunda kikosi cha jeshi la Uingereza nchini Kenya kijulikanacho kama BATUK( British Army Training Unit in Kenya) wameshutumiwa kufanya matendo hayo huku serikali ya Kenya ikiwa haitoi msaada wowote kwa raia wake wanaothiriwa.
Wanawake nchini Kenya ndio waathirika wakuu kutokana na kulengwa katika matukio ya ubakaji na kutekelezewa watoto waliozalishwa na wanajeshi hao.

Mfano wa kukumbukwa zaidi ni mauaji ya Agnes Wanjiru binti aliyeuwawa mwaka 2012 kisha kutupwa kwenye chemba la kuhifadhia maji machafu. Licha ya uwepo wa ushahidi kuwa Agnes aliuwawa na mwanajeshi wa Uingereza, familia yake imekuwa ikihangaika pasipo kujua hatima ya lini haki ya mpendwa wao itapatikana.
Vilevile, wanajeshi hao wa Uingereza katika moja ya mazoezi yao mwaka 2021 walisababisha moto mkubwa uliowaka kwa muda wa siku tatú katika maeneo yaliyo karibu na kambi yao ya jeshi. Moto huo ulipelekea vifo, matatizo ya kiafya kwa wakazi pamoja na kuharibu mashamba na uoto wa asili. Wakazi walioathiriwa na moto huo vilevile bado hawajalipwa fidia.

Viongozi wa Kenya wamekuwa wakisisitiza kuwa wanajeshi wa Uingereza wapo nchini Kenya kisheria na kwamba serikali itashugulikia malalamiko yanayotolewa dhidi yao.
Hata hivyo, hizo zinabaki kuwa ahadi tu kwani raia walioathirika bado hawajapata msaada wowote.

"Family of Agnes Wanjiru say inquiry into British troops' conduct in Kenya must investigate her death" Family of Agnes Wanjiru say inquiry into British troops' conduct in Kenya must investigate her death
"Kenya confronts trail of rape accusations and abandoned children against UK soldiers | CNN" https://edition.cnn.com/2024/06/17/africa/british-army-abandoned-children-kenya-intl/index.html

"Kenyans seek compensation for fire caused by the British Army in 2021 - EFE" Kenyans seek compensation for fire caused by the British Army in 2021 - EFE
 
Back
Top Bottom