Wanajeshi wa Ukraine waanza kuingia Crimea

Ukraine ni ya kuhurumia nyie jipeni moyo tu...ile nchi imegeuka kuwa kama al shabab iko hoi dhoofli kwishaaa
 
Ukraine ni ya kuhurumia nyie jipeni moyo tu...ile nchi imegeuka kuwa kama al shabab iko hoi dhoofli kwishaaa

Kama Urusi ingefanikiwa kuiteka Kyiv, hapo ndio ungeona taifa kubadilika na kuwa la kishababu maana watu wangeanzisha mapambano ya kujilipua kwa mabomu kama wapiganaji wa dini yenu.
 
Narudia ni kichaa pekee anayeweza kufikiri Ukraine anaweza kushinda vita dhidi ya Ukraine.

Hehehe ustadhi Narudia ni mjinga kama wewe asiyeona aibu anayopitia huyo mtume wenu Putin.
 
Hehehe ustadhi Narudia ni mjinga kama wewe asiyeona aibu anayopitia huyo mtume wenu Putin.
Mbona anaendelea vizuri na kazi yake na jana kahutubia BRICS.Alafu nani kakuambia kila mtu ni ustaadhi?
 
Bila Shaka umekunywa chang'aa
 
Mbona anaendelea vizuri na kazi yake na jana kahutubia BRICS.Alafu nani kakuambia kila mtu ni ustaadhi?

hehehe ustadhi huyo mtume wenu Putin anahangaika sana kwa sasa, ameogopa kuhudhuria kikao cha BRICS.....
 
The Russian Ministry of Defense has claimed that the Raid by Ukrainian Special Forces last night on a Beach Resort in Northwestern Crimea resulted in the Death of 15-20 Ukrainian Soldiers, after a Security Guard in his Underwear was able to “Pin Down” the Solders near the Beach until a Russian Rapid-Response Force arrived.

Wanajeshi wa ukraine wazuiwa na mvuvi aliyeyaa nguo ya ndani hadi wanajeshi wa urusi walipofika na kuwafyekelea mbali walipojaribu kuvamia Crimea.
 
Wewe hizi taarifa zote umezihibuwa wapi - ebu na sisi tupatie hizo credible link zako na sisi tuzisome na kujiridhisha - habari za vijiweni havitatufikisha popote, kumbukeni: propaganda za Counter offensive zenu za Ukraine zilishia wapi 2,400 killed by Russian troops within 24 hours - Challenger, Leopard and French TANKS all kaput hakuna anaye zipigia debe tena baada ya Dunia kushuhdia kwamba hazifui dafu kwa Silaha za Urusi - aibu tupu ndio maana Merikani inasita sita sana kupeleka vifaru vya Abram huko Ukraine anavijua vizuri kwamba ni paper Tiger tumbele ya silaha za Urusi ATGM na Lacent, wanaogopa kukosa SOKO.
 
Izi taarifa zenu huwa mnatoa bbc ni fake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…