Wanajeshi wa Ukraine wakamilisha mafunzo ya kutumia Leopard 2

Wanajeshi wa Ukraine wakamilisha mafunzo ya kutumia Leopard 2

[emoji298]️“The managers of the banks will be fired, Biden noted, and investors will lose money.”

'They knowingly took a risk, and when the risk didn't pay off his adjusters lose their money. That's how capitalism works,' Biden said
 
USA amekwisha soma mchenzo mzima ndio maana anasita kupeleke vifaru vyake vya Abram huko Ukraine badala yake anaendelea kutoa visongizio chungu mzima - eti "Abram vitapelekwa front line labda mwaka kesho" kumbe lengo la Biden ni kutaka kuona vifaru vya Ujerumani na Uingereza vitastahimili vipi ATGM za Urusi, kama vyote vitatiwa kiberiti, basi Biden hatapeleka kifaru hata kimoja type Abram huko Ukraine.

Jana kwa mfano: Urusi ilivurumisha ATGM ikalipua Kifaru kilicho kuwa zaidi ya 8Km killing all soldiers instantly.
Vipi lile limsafara lenu la km64 kuelekea Kiev mlikutanishwa na Moto wa Javelins mkaishia kukimbia kujiokoa
 
Vipi lile limsafara lenu la km64 kuelekea Kiev mlikutanishwa na Moto wa Javelins mkaishia kukimbia kujiokoa
Watu wote tuliona kilichokuwa kinaendelea msafara mnao uzungumzia ulikuwa na magari ya kawaida ya jeshi, tanker za kubeba mafuta, pantsir ADS, magari ya deraya na baadhi ya vifaru na havikuwa vingi kivile - nilicho kiona mimi ni kushambuliwa kifaru kimoja kimoja kwa kushtukiza na vigine viliendelea na safari kama kawaida lakini mashambulizi barabarani yalikuwa machache sana tuliona vizuri kwenye luninga hakuna popote tulipo ona vifaru kama kumi au ishirini vikiwa ambushed na kutiwa kibereti mashambulizi yalikuwa ni moja moja tu na sio makubwa kivile au media za magharibi walivyo kuwa wanaweka chumvi nyingi kuhusu mashambulizi yenyewe hakuna popote ambapo Putin au majenerali wake walipo sema kwamba msafara huo ilikuwa unaelekea Kiev - hakuna, hizoni adithi zinazo tungwa na wapambe wa Biden na waumini wake - ukweli wa mambo ni kwamba msafara ulikuwa unaelekea Beralus sio Kiev - jeshi la Urusi lilitumia msafara huo kama decoy ya kulifanya jeshi la Ukraine na NATO wapanic na kuhamisha maje shi yake fasta kutoka kusini mashariki mwa Ukraine na kuyaleta Kiev kuongeza ulizi - na hilo ndilo lilikuwa lengo la Putin ie kupunguza nguvu za jeshi la Ukraine/NATO kudini mashariki ili mwisho wa siku wanamgambo wa jeshi la Majimbo ya kusini mashariki wanao shirikiana na jeshi la Urusi iwe rahisi kwao kupambana za Zelenky na mamluki - mbinu hizo ziliwasaidia sana wanamgambo wa majimbo yanayo unga mkono kuungana na Urusi.

Magari mengi ya raia na kijeshi ambayo uonyeshwa na media za Ukraine kwamba ni vilipigwa na jeshi la Ukraine habari hizo zinatiwa chumvi mno uharibifu hakuwa wa kiwango hicho picha nyingi walizokuwa wanaonyesha ni fake nyingi zilipigwa kwenye miaka vita ya 2014/15 na ukiangalia kwa umakini nyingi zimeshikwa kitu, walivyo wa ajabu kuna picha nyingine walionyesha vifaru vya Urusi vilivyo pigwa na jeshi Ukraine wakati huo kilikuwa ni kipindi cha majira ya summer lakini kwenye background inaonekana snow imetanda which means picha yenyewe ilikuwa fake - hata kifaru vhenyewe kilikuwa kimeshikwa kutu ya miaka sio miezi - wasanii kweli kweli jamaa hawa.
 
Watu wote tuliona kilichokuwa kinaendelea msafara mnao uzungumzia ulikuwa na magari ya kawaida ya jeshi, tanker za kubeba mafuta, pantsir ADS, magari ya deraya na baadhi ya vifaru na havikuwa vingi kivile - nilicho kiona mimi ni kushambuliwa kifaru kimoja kimoja kwa kushtukiza na vigine viliendelea na safari kama kawaida lakini mashambulizi barabarani yalikuwa machache sana tuliona vizuri kwenye luninga hakuna popote tulipo ona vifaru kama kumi au ishirini vikiwa ambushed na kutiwa kibereti mashambulizi yalikuwa ni moja moja tu na sio makubwa kivile au media za magharibi walivyo kuwa wanaweka chumvi nyingi kuhusu mashambulizi yenyewe hakuna popote ambapo Putin au majenerali wake walipo sema kwamba msafara huo ilikuwa unaelekea Kiev - hakuna, hizoni adithi zinazo tungwa na wapambe wa Biden na waumini wake - ukweli wa mambo ni kwamba msafara ulikuwa unaelekea Beralus sio Kiev - jeshi la Urusi lilitumia msafara huo kama decoy ya kulifanya jeshi la Ukraine na NATO wapanic na kuhamisha maje shi yake fasta kutoka kusini mashariki mwa Ukraine na kuyaleta Kiev kuongeza ulizi - na hilo ndilo lilikuwa lengo la Putin ie kupunguza nguvu za jeshi la Ukraine/NATO kudini mashariki ili mwisho wa siku wanamgambo wa jeshi la Majimbo ya kusini mashariki wanao shirikiana na jeshi la Urusi iwe rahisi kwao kupambana za Zelenky na mamluki - mbinu hizo ziliwasaidia sana wanamgambo wa majimbo yanayo unga mkono kuungana na Urusi.

Magari mengi ya raia na kijeshi ambayo uonyeshwa na media za Ukraine kwamba ni vilipigwa na jeshi la Ukraine habari hizo zinatiwa chumvi mno uharibifu hakuwa wa kiwango hicho picha nyingi walizokuwa wanaonyesha ni fake nyingi zilipigwa kwenye miaka vita ya 2014/15 na ukiangalia kwa umakini nyingi zimeshikwa kitu, walivyo wa ajabu kuna picha nyingine walionyesha vifaru vya Urusi vilivyo pigwa na jeshi Ukraine wakati huo kilikuwa ni kipindi cha majira ya summer lakini kwenye background inaonekana snow imetanda which means picha yenyewe ilikuwa fake - hata kifaru vhenyewe kilikuwa kimeshikwa kutu ya miaka sio miezi - wasanii kweli kweli jamaa hawa.
Subiri matusi na kejeli kutoka kwa wayukrain wa mbagara maji matitu,,,
 
Hivi hii mikopo wanayopewa italipwaje? Yani nchi imeingia kwenye madeni makubwa kwa sababu ya rais kukubali kuwa kibaraka wa mabeberu.

Deni ipi, Ukraine imetumika kudhihirisha udhaifu wa Urusi....
 
Ameshika kichwa anajua Nini kitakachotokea huko kiendako.

Urusi kishatangaza dau[emoji1787]
JamiiForums-1979306638.jpg
 
Hiyo vita usiichukulie kama ya kishabiki kati ya Yanga na Simba!
 
Baada ya kuidhihirisha wanatakiwa kulipa dola bilioni mia ngapi kwenye marejesho ya mkopo?
Baada ya vita alie shindwa hupaswa kulipa gharama zote za vita na uharbifu ulio tokea.
Nani atalipa bado mapema kujua.
Tuwe na subra
 
Watu wote tuliona kilichokuwa kinaendelea msafara mnao uzungumzia ulikuwa na magari ya kawaida ya jeshi, tanker za kubeba mafuta, pantsir ADS, magari ya deraya na baadhi ya vifaru na havikuwa vingi kivile - nilicho kiona mimi ni kushambuliwa kifaru kimoja kimoja kwa kushtukiza na vigine viliendelea na safari kama kawaida lakini mashambulizi barabarani yalikuwa machache sana tuliona vizuri kwenye luninga hakuna popote tulipo ona vifaru kama kumi au ishirini vikiwa ambushed na kutiwa kibereti mashambulizi yalikuwa ni moja moja tu na sio makubwa kivile au media za magharibi walivyo kuwa wanaweka chumvi nyingi kuhusu mashambulizi yenyewe hakuna popote ambapo Putin au majenerali wake walipo sema kwamba msafara huo ilikuwa unaelekea Kiev - hakuna, hizoni adithi zinazo tungwa na wapambe wa Biden na waumini wake - ukweli wa mambo ni kwamba msafara ulikuwa unaelekea Beralus sio Kiev - jeshi la Urusi lilitumia msafara huo kama decoy ya kulifanya jeshi la Ukraine na NATO wapanic na kuhamisha maje shi yake fasta kutoka kusini mashariki mwa Ukraine na kuyaleta Kiev kuongeza ulizi - na hilo ndilo lilikuwa lengo la Putin ie kupunguza nguvu za jeshi la Ukraine/NATO kudini mashariki ili mwisho wa siku wanamgambo wa jeshi la Majimbo ya kusini mashariki wanao shirikiana na jeshi la Urusi iwe rahisi kwao kupambana za Zelenky na mamluki - mbinu hizo ziliwasaidia sana wanamgambo wa majimbo yanayo unga mkono kuungana na Urusi.

Magari mengi ya raia na kijeshi ambayo uonyeshwa na media za Ukraine kwamba ni vilipigwa na jeshi la Ukraine habari hizo zinatiwa chumvi mno uharibifu hakuwa wa kiwango hicho picha nyingi walizokuwa wanaonyesha ni fake nyingi zilipigwa kwenye miaka vita ya 2014/15 na ukiangalia kwa umakini nyingi zimeshikwa kitu, walivyo wa ajabu kuna picha nyingine walionyesha vifaru vya Urusi vilivyo pigwa na jeshi Ukraine wakati huo kilikuwa ni kipindi cha majira ya summer lakini kwenye background inaonekana snow imetanda which means picha yenyewe ilikuwa fake - hata kifaru vhenyewe kilikuwa kimeshikwa kutu ya miaka sio miezi - wasanii kweli kweli jamaa hawa.
Wanaendelea kuabika maana Sasa tunawafahamu walivyo. Wanapeperusha maneno kupitia media zao yasiyo na mashiko.
 
Back
Top Bottom