Naija vibez
Member
- Oct 4, 2020
- 38
- 49
Maelekezo Maelekezoooo
Ova ovaMaelekezo Maelekezoooo
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Mtaa wa wapi huko raia walikovurugwa na tozoKuna mmoja kala vitasa mtaani jana Ali taka kuleta ubabe watu washa vurugwa
Hii aibu yetu.Kama tuna kambi ya wanamaji Mwanza, basi tuna tatizo kubwa mno katika mfumo wa uongozi wa nchi yetu. Kama majeshi ndiyo hivi adui si anaweza kuja na kutubokoa tu kama kuku bandani, aibu.
Mbwembwe nyingi kwenye maadhimisho ya Uhuru kumbe kwenye matukio live hamna kitu.
Sasa ndugu,watu 89 hawajaweza kuitoa hao wawili uliowachorea wangeweza itoa,ni bora hata hao wamefika kwa wakati.Hayawahusu[emoji2827][emoji2827]