Wanajeshi wakitizama wavuvi wanavyovuta ndege kwa kamba

Hahahaha, tena wanalindwa na mgambo, mkamata masufuria ya biriani.
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚nakwambia hata vita ikitimka ni raiya watapigana hawa jamaa wanajua kutishia watu tu....
 
Kuna mmoja kala vitasa mtaani jana Ali taka kuleta ubabe watu washa vurugwa
 
Hii aibu yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ