Wanajeshi wanne wa Israel wauawa kwenye mapigano

Wanajeshi wanne wa Israel wauawa kwenye mapigano

Didododi

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2023
Posts
347
Reaction score
465
Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) limethibitisha kuwa askari wake wanane wa wameua katika makabiliano na wapiganaji wa Hezbillah kusini mwa Lebanon

IDF inasema watatu walikuwa wa kitengo cha Egoz,

Awali ilitangaza katika taarifa kwamba Kapteni Eitan Yitzhak Oster, 22, aliuawa ndani ya Lebanon siku ya Jumatano.

Kijana huyo mwenye umri wa miaka 22 alikuwa katika kitengo cha Egoz, cha makomando maalumu wa vita vya ardhini, IDF inasema.

Awali IDF iliripoti kuwa "inapigana maeneo kadhaa" kusini mwa Lebanon.

"Jeshi la Wanahewa la Israeli, waliwatimua magaidi na kuharibu miundombinu ya kigaidi kwa mabomu yaliyoongozwa kwa usahihi na ushirikiano ya karibu."

Taarifa hiyo inaongeza "zaidi ya miundombinu 150 ya ugaidi" imeharibiwa na katika mashambulizi ya hivi majuzi.

Chanzo BBC
 
We kufa uoze acha mbwembwe
1. Mfano wa Nabii Ibrahim (A.S.)
na ndege wanneMwenyezi Mungu alimpa Nabii Ibrahim (A.S.) dalili ya wazi ya kufufuliwa, alipomuonyesha uwezo Wake wa kuhuisha viumbe vilivyokufa:Surah Al-Baqarah 2:260:
"Na kumbuka aliposema Ibrahim: Mola wangu! Nionyeshe jinsi unavyofufua wafu. Akasema: Je, huamini? Akasema: Ndiyo, lakini ili utulie moyo wangu. Akasema: Basi chukua ndege wanne, uwafanye uwepesi kwao, kisha uwache, kila mmoja katika kilima kimoja, kisha waite; watakujia haraka. Na ujue kwamba Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu, Mwenye hekima."

2. Mfano wa Nabii Uzair (A.S.)Katika simulizi ya Nabii Uzair (A.S.), Allah alimfufua baada ya kuwa amekufa kwa miaka mia moja:Surah Al-Baqarah 2:259:
"...Mwenyezi Mungu akamfisha kwa miaka mia moja, kisha akamfufua, akasema: Umekaa kwa muda gani? Akasema: Nimelala siku moja au sehemu ya siku. Akasema: Bali umekaa miaka mia moja...

3. Mfano wa nafsi zetu zilivyo na usingizi na kuzindukaQur'an inalinganisha hali ya binadamu kulala na kuamka na kufa na kufufuliwa:Surah Az-Zumar 39:42:
"Mwenyezi Mungu huwafisha watu wakati wa mauti yao na wale ambao hawakufa katika usingizi wao. Basi huzizuia zile ambazo amewaandikia mauti, na huzirudisha nyengine mpaka muda uliowekwa. Hakika katika haya zipo Ishara kwa watu wanaofikiri."

.4. Mfano wa Nabii Isa (A.S.)Nabii Isa (Yesu) alipewa uwezo wa kufufua wafu kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, na hii ni dalili ya uwezo wa Allah wa kufufua wafu:Surah Al-Imran 3:49:
"...Na nitaponya vipofu waliozaliwa navyo, na wenye mbaranga, na nitawafufua wafu kwa idhini ya Mwenyezi Mungu."
 
1. Mfano wa Nabii Ibrahim (A.S.)
na ndege wanneMwenyezi Mungu alimpa Nabii Ibrahim (A.S.) dalili ya wazi ya kufufuliwa, alipomuonyesha uwezo Wake wa kuhuisha viumbe vilivyokufa:Surah Al-Baqarah 2:260:
"Na kumbuka aliposema Ibrahim: Mola wangu! Nionyeshe jinsi unavyofufua wafu. Akasema: Je, huamini? Akasema: Ndiyo, lakini ili utulie moyo wangu. Akasema: Basi chukua ndege wanne, uwafanye uwepesi kwao, kisha uwache, kila mmoja katika kilima kimoja, kisha waite; watakujia haraka. Na ujue kwamba Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu, Mwenye hekima."

2. Mfano wa Nabii Uzair (A.S.)Katika simulizi ya Nabii Uzair (A.S.), Allah alimfufua baada ya kuwa amekufa kwa miaka mia moja:Surah Al-Baqarah 2:259:
"...Mwenyezi Mungu akamfisha kwa miaka mia moja, kisha akamfufua, akasema: Umekaa kwa muda gani? Akasema: Nimelala siku moja au sehemu ya siku. Akasema: Bali umekaa miaka mia moja...

3. Mfano wa nafsi zetu zilivyo na usingizi na kuzindukaQur'an inalinganisha hali ya binadamu kulala na kuamka na kufa na kufufuliwa:Surah Az-Zumar 39:42:
"Mwenyezi Mungu huwafisha watu wakati wa mauti yao na wale ambao hawakufa katika usingizi wao. Basi huzizuia zile ambazo amewaandikia mauti, na huzirudisha nyengine mpaka muda uliowekwa. Hakika katika haya zipo Ishara kwa watu wanaofikiri."

.4. Mfano wa Nabii Isa (A.S.)Nabii Isa (Yesu) alipewa uwezo wa kufufua wafu kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, na hii ni dalili ya uwezo wa Allah wa kufufua wafu:Surah Al-Imran 3:49:
"...Na nitaponya vipofu waliozaliwa navyo, na wenye mbaranga, na nitawafufua wafu kwa idhini ya Mwenyezi Mungu."
Wewe unaelekea kuchanganyikiwa
 
Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) limethibitisha kuwa askari wake wanane wa wameua katika makabiliano na wapiganaji wa Hezbillah kusini mwa Lebanon

IDF inasema watatu walikuwa wa kitengo cha Egoz,

Awali ilitangaza katika taarifa kwamba Kapteni Eitan Yitzhak Oster, 22, aliuawa ndani ya Lebanon siku ya Jumatano.

Kijana huyo mwenye umri wa miaka 22 alikuwa katika kitengo cha Egoz, cha makomando maalumu wa vita vya ardhini, IDF inasema.

Awali IDF iliripoti kuwa "inapigana maeneo kadhaa" kusini mwa Lebanon.

"Jeshi la Wanahewa la Israeli, waliwatimua magaidi na kuharibu miundombinu ya kigaidi kwa mabomu yaliyoongozwa kwa usahihi na ushirikiano ya karibu."

Taarifa hiyo inaongeza "zaidi ya miundombinu 150 ya ugaidi" imeharibiwa na katika mashambulizi ya hivi majuzi.

Chanzo BBC
Lazima wafe....ndiyo gharama ya vita vya ardhini.
 
Bbc swahili wanasema 8, confirmed source 22
Kwani kuawawa kwa wanajeshi 8 wa Israel kwenu manona ni priority news hapa JF? Si muongelee matatizo ya kwenu hapa kwenu Bongo ambako kuna mambo kibao yanayohitaji kujadiliwa? Huo ni ushabiki wa kizabizina, ambao hautawasaidia kama jamii wala kama Taifa. Taifa la Israel litabakia kuwa ni Taifa Teule la Mungu. Huyo Mkubwa wa Mashetani hapa duniani madevu Ayatollah hataweza kulinagamiza wala kulifuta katika uso wa Dunia kama anavyotishiaga. IDF wana Nuclear Arsenals ambazo wakiona Taifa lao linakabiliwa na Kitisho cha kuangamia, wataachia na hapo kwa wavaa makubazi wa Irani wote Milion 70 watabakia ni mifupa na vizazi vyao vitakavyofuata watakuwa ni walemavu na wenye akili pungufu zaidi na ulemavu wa viungo. Waulizie wenzao wa Hiroshima na Nagasaki wanajua maana ya Atomic Bomb. Madevu atadhibitiwa najua na wakubwa wako tayari na vifaa vikubwa na mameli ya kutisha pale Mediterranean wanasubilia kama wataona kuna kitisho kwa uwepo wa Taifa la Mungu. Polisi wa Dunia G7 wako standby for intervention, if necessary.
 
Back
Top Bottom