WanaJF acheni kutuponda tunaotumia TECNO

Halafu mtu fala kama wewe utakuta unakaa kwa shemeji kodi ya nyumba shikamoo na kiuno cha dada yako.

mbona unanitukana mkuu? hasira za nini? we ni mmoja wa watumiaji wa hizo kitu? we tumia tu ni ya kwako, nipo kwangu mkuu, pia sina dada nina mke na watoto...hongera kwa kupitia maisha hayo ya kuhudumiwa na mwanaume mwenzako.
 
mbona unanitukana mkuu? hasira za nini? we ni mmoja wa watumiaji wa hizo kitu? we tumia tu ni ya kwako, nipo kwangu mkuu, pia sina dada nina mke na watoto...hongera kwa kupitia maisha hayo ya kuhudumiwa na mwanaume mwenzako.
Kwahiyo Somalia siyo nje ya nchi?
 
Natumia Xton W7+ zunguka kote hutaipata hapa A. Mashariki na Kati.

Ndo nishasema sasa.
 
Natumia samsung note 8,siwapondei wala siwadharau,sema kuna tofauti kati ya mwenye v8 na vitz
 
Haahah Padri mcharo anapenda sana kuwabeza watumiaji wa tecno
 
Hii ndio simu yangu. Nimeinunua 2015 sibadili hadi igome kufanya kazi
 
True say..
 
Cjawah penda tecno hata
Unipe bure naiuzasku hyohyo
Bora nibak bla cm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…