.Aiseee you too...
We nitenge tu. Mi namwachia Maulana
Sawa tu, nguvu ulishazimaliza kwa wachuchu, kula pensheni kiongozi [emoji39]Astaghafurulilah lakwata! Mi ni babu sina nguvu tena
'uyo' ndio nani kiongozi?
Nimekuninia mie...We nitenge tu. Mi namwachia Maulana
Amesema huwa hashindi lakini.abiria chunga mzigo wako we ulifikiri nakupeleka kula majani ndio kuchunga
tutashinda hata kwa uchawi
[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aiseee you too...
Najua nimetaja mmoja hapo hadi umel......[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji12][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
😂😂😂😂😂😂Najua nimetaja mmoja hapo hadi umel......[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji12]
Dah, watu na bahati zao bwana. Nimemtaja tu wewe hoi. Basi na mimi nizimikie[emoji12][emoji23][emoji39][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kipendacho roho yaani.
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji30][emoji30][emoji87][emoji87][emoji23][emoji23][emoji23]
Jr[emoji769]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijasema kwa nia mbaya hapo namaanisha kuwa wewe ndio kiungo wa JF
POPOTE ULIPO NASI TUPO[emoji38]
Kwamtazamo wangu nafikiri wewe ulishawahi kupata ajali miaka ya nyuma ukaongezewa damu ya Seif Sharif Hamad[emoji1321][emoji3603]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dah, watu na bahati zao bwana. Nimemtaja tu wewe hoi. Basi na mimi nizimikie[emoji12][emoji23][emoji39]
Aisee huyu Mshana Jr anajua almost kila kitu.... hahah ukienda kwenye politics utamkuta nachangia tena deeply with critical knowledge,
ukiingia jukwaa la kimataifaa yumoo kajaa tele na ushauri kemkem anatoa
jukwaa la intelligensia siongei sana nyie wenyewe mnaonaga maana maswala ya ushirikina uchawi wanga majini wafu yumoo hahahaa
Jukwaa la vichekesho yumo kule piaaa duh
Karibia kila jukwaa yumoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaaaaaitakuwa ana muda mwingi siku yake ina masaa 27
Hata kuwe na giza totoro kamwe siwezi kukusahau, kwani masikio yangu yanaikumbuka vyema sauti yako. Hata nipofuke macho pua zangu zitaniongoza ulipo kwani zimeshainasa vilivyo harufu yako. Hivyo ondoa shaka juu ya hilokitambo hatujaonana nahisi kashanisahau hata kikumbo anaweza akanipiga tena kile cha kutukania kabisa