WanaJF Bora wa siku zote

WanaJF Bora wa siku zote

[emoji44][emoji44][emoji44][emoji30][emoji30][emoji87][emoji87][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]

Sijasema kwa nia mbaya hapo namaanisha kuwa wewe ndio kiungo wa JF
POPOTE ULIPO NASI TUPO[emoji38]
Kwamtazamo wangu nafikiri wewe ulishawahi kupata ajali miaka ya nyuma ukaongezewa damu ya Seif Sharif Hamad[emoji1321]‍♂️
 
Sijasema kwa nia mbaya hapo namaanisha kuwa wewe ndio kiungo wa JF
POPOTE ULIPO NASI TUPO[emoji38]
Kwamtazamo wangu nafikiri wewe ulishawahi kupata ajali miaka ya nyuma ukaongezewa damu ya Seif Sharif Hamad[emoji1321]‍[emoji3603]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dah, watu na bahati zao bwana. Nimemtaja tu wewe hoi. Basi na mimi nizimikie[emoji12][emoji23][emoji39]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe si unajua vile nakuzimikia.
 
Mshana Jr, unajua kila kitu....?
Aisee huyu Mshana Jr anajua almost kila kitu.... hahah ukienda kwenye politics utamkuta nachangia tena deeply with critical knowledge,

ukiingia jukwaa la kimataifaa yumoo kajaa tele na ushauri kemkem anatoa

jukwaa la intelligensia siongei sana nyie wenyewe mnaonaga maana maswala ya ushirikina uchawi wanga majini wafu yumoo hahahaa

Jukwaa la vichekesho yumo kule piaaa duh

Karibia kila jukwaa yumoo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kitambo hatujaonana nahisi kashanisahau hata kikumbo anaweza akanipiga tena kile cha kutukania kabisa
Hata kuwe na giza totoro kamwe siwezi kukusahau, kwani masikio yangu yanaikumbuka vyema sauti yako. Hata nipofuke macho pua zangu zitaniongoza ulipo kwani zimeshainasa vilivyo harufu yako. Hivyo ondoa shaka juu ya hilo
 
Hata kuwe na giza totoro kamwe siwezi kukusahau, kwani masikio yangu yanaikumbuka vyema sauti yako. Hata nipofuke macho pua zangu zitaniongoza ulipo kwani zimeshainasa vilivyo harufu yako. Hivyo ondoa shaka juu ya hilo
usiandike hapa espy ataona
 
Back
Top Bottom