WanaJF inatakiwa tuonane jamani


Tukutane Iwambi jeshini, pale mandata wanaolinda wanapokaa...
 
Kumbe ulianzia hapa.

Nifute akilini mwako [emoji2212]
Unaona sasa ulivyo na kisirani D..Mbona mzito Sana kufungua code.Maana yake ni kwamba wewe Una special invitation ndy maana sijataka uje na troop

Upo slow sn kuelewa Yani..aaargh[emoji36][emoji36][emoji36][emoji36]
 
Mpango mzuri kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…