WanaJF inatakiwa tuonane jamani

WanaJF inatakiwa tuonane jamani

Toa muongozo...
Nilikua natengeneza pesa...
Safi! Sasa, ni hivi mpango wa kuonana naona watu wanaukimbia nadhan wasiojulikana bado wapo so people wanaogopa kufungwa kwenye viroba.😛😂
 
Safi! Sasa, ni hivi mpango wa kuonana naona watu wanaukimbia nadhan wasiojulikana bado wapo so people wanaogopa kufungwa kwenye viroba.😛😂
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...

Binadamu wa humu wanaonana kisirisiri...
 
Back
Top Bottom