Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
😂😂😂Leo mkikulana tu, kesho unaandikwa kwenye sijui nini gani kimasikhara...🙄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Leo mkikulana tu, kesho unaandikwa kwenye sijui nini gani kimasikhara...🙄
Toa muongozo...Am righthere for that,but where you were siku nzima mkuu?
Lini utakaribia...Ahsante mpendwa
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...Safi! Sasa, ni hivi mpango wa kuonana naona watu wanaukimbia nadhan wasiojulikana bado wapo so people wanaogopa kufungwa kwenye viroba.😛😂
Itabidi nifanye hivyo wacha kwanza nimalizie hii dozi...baada ya hapo ni kuunganisha vikojoleoWeka ratiba mkuu
Nawe utaonwa kisirisiri...Kweli aisee nami nimeona😂
Kila la kheri...Yeah,kwa kweli acha niendelee kusubiri pm
Ukiona unachelewa kuonwa kisirisiri zama wewe...Asante sana mkuu
Za kuambiwa changanya na za kwako...😂😂great advice! Bigup Kamanda,ngoja nikomae
SoonLini utakaribia...
Sawa iwe kweli...Soon
Sawa mkuuSawa iwe kweli...