Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You deserve all the sweetheart....
Karibu tena na tena na tena...Thank you sweetheart…
Its week end with a good morning...It’s weekend… you know you know😁😁
Hahhah nitaribia sana tuu… mpaka kule kwenye bahari kule hahahKaribu tena na tena na tena...
Hahahha najaribu nashindwa sasa… you made me smile this very morning sweetheartIts week end with a good morning...
Acha kucheka sasa... kaone kwanza... hahaha
Kule siyo sasa kwanza kaone kwanza...Hahhah nitaribia sana tuu… mpaka kule kwenye bahari kule hahah
Na unavyocheka vizuri...Hahahha najaribu nashindwa sasa… you made me smile this very morning sweetheart
Hahhahhaha ila si umenikubalia baada ya muda kwenda si ndio eeeKule siyo sasa kwanza kaone kwanza...
Ndiyo na tutaendea wote...Hahhahhaha ila si umenikubalia baada ya muda kwenda si ndio eee
Hahahhaha sasa kama unanipa raha jeNa unavyocheka vizuri...
Sweetheart leo venue Karambezi...Hahahhaha sasa kama unanipa raha je
You are the best sweetheart
Let me prepare myself for dinner date lol🥰🥰Sweetheart leo venue Karambezi...
Kaone kwanza... kalivyo kazuri, hakuna kucheka...Let me prepare myself for dinner date lol🥰🥰
Ni mambo ya Kishamba sana, alafu tukishaonana then ni kinafuata??Siyo kwa ubaya bali kwa mema tu...tupange ratiba ya kuonana hata Mara mbili kwa mwaka....tunaonana kwa ajili ya kufurahi,kubadilishana mawazo,kubadilisha mazingira,kupeana michongo na vingine vingi visivyo na madhara.
Tusibaguane wala kuweka matabaka ...Mali ni zetu lakini uhai si Mali yetu bas muda huu tupo hai tutengeneze aman na upendo sisi kwa sisi.Tanzania ni yetu bas tusitengane wandugu.NAWAPENDA SANA!
Hahahha kucheka siwezi kuacha maana that always turn you…. LolKaone kwanza... kalivyo kazuri, hakuna kucheka...