WanaJF inatakiwa tuonane jamani

Kumbe KUONANA, mimi macho yangu madogo yakasema KUOWANA, [emoji23]nikawa nishakupigia mahesabu, "wangu mleta mada" halafu wanaume wako wangapi, wanawake wako wangapi, tujue kila mmoja anaoa wangapi wangapi, kisha mimi niseme UFEI "naanza mimi kuchagua" [emoji23][emoji1787][emoji1787]
 
Ni mambo ya Kishamba sana, alafu tukishaonana then ni kinafuata??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…