ππAhsante na wewe uwe na Idd njema chief
hawa waleo hawana adabu kabisaa,wakipewa wanatangaza wenzao tulikuwa tunakula kimyakimyaMiaka ile jf ilikua na adabu, siku zile tuliheshimiana na hapa ndani palikua ni kusambaza upendo.
Jf ya sikuizo ilikua na usiri, tulikutana, tulijikula, tuligombana sana lakini bado tuliheshimiana na hatukua tukifunguliana uzi.
Anyway...
Nina mengi ya kusimulia, ila kwa leo ngoja niishie hapa.
Ebu kwanza nitumie PM yako ili tuonane babe..[emoji39]
Karibu mjukuu, utapika nini?Bibi vipi Eid, nataka nije kupika. [emoji23][emoji23]
Nakuja kupika biriani ndo napenda sana.Karibu mjukuu, utapika nini?
Nasambaza upendo chief
Atupie kule selfika asante kwa kumkumbushaAlayna jana niliona sehemu ulisema utatupia leo?? utatupia sangapi mamy ili nisikusumbue kuomba urudie????π
Inapendeza...Nasambaza upendo chief
hahahaaaa..... namaanisha atupie kule mkuu Asante!Atupie kule selfika asante kwa kumkumbusha
Asidhani tumesahau
Watu watupie picha za Eid kule. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hahahaaaa..... namaanisha atupie kule mkuu Asante!
Thank you sweetheartDefinitely sweetheart kesho we are together ππ
Unaonekana kwa nadra kama kaka kuonaKwema kabisa mkuu...tumepotezana sana aisee...hebu fanya mchakato kuvunja ukimya
Unadeka sana... Ka mwili laini kama Sufi...πππ yan unajua naumwaaa!?? Ni mabaya sanaaβ¦
Eid Mubarak to you too π
Tukutane mm na ww tu... Karibu uwaone panya roadJiamini bhana