WanaJF inatakiwa tuonane jamani

Mjep

Naona unanilima likes kama zote...
πŸ™πŸ™


Uwe na Eid njema...
 
hawa waleo hawana adabu kabisaa,wakipewa wanatangaza wenzao tulikuwa tunakula kimyakimya
 
Darlin

Sweetheart, sikukuu umeianza toka Jana...Ukimaliza vya kwako Kuna vya kwangu vyakungoja... πŸ˜œπŸ˜˜πŸ€—πŸ’•

uwe na Eid njema...
Smart911 😍
Thank you sweetheart
Hope Eid pili tutakua wote…
Uwe na Eid njema pia mpenziπŸ₯°β€¦.
 
Depal

Cha utundu, mjanja sana keep it that way..
Nakukumbusha maji ya baridi hayaui mtu punguza uwoga πŸ˜œπŸ˜…πŸ€—

Uwe ni Eid njema...
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ yan unajua naumwaaa!?? Ni mabaya sanaa…


Eid Mubarak to you too πŸŒ™
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ yan unajua naumwaaa!?? Ni mabaya sanaa…


Eid Mubarak to you too πŸŒ™
Unadeka sana... Ka mwili laini kama Sufi...

Pole mpendwa... Ndiyo maisha πŸ€—πŸ€—
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…