Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaanzaje kukuvunja Kwa mfano? ..hivi unajua kwamba kinachosikika sn hakina maumivu makali?Aaaaaaah.
🤣🤣🤣🤣🤣 akining'oa meno jeeeee.
Na Mimi nipo mwanjelwa,tuonane basiNipo mwanjelwa tym hii mkuu kuna kitu kimenileta
Vitabia vyao ee?Ushimen na Bujibuji Simba Nyanaume huwa kama ni mtu mmoja vile 😁 au ni ndugu
Mimi nakuja hapo Mbalari keshoSiyo kwa ubaya bali kwa mema tu...tupange ratiba ya kuonana hata Mara mbili kwa mwaka....tunaonana kwa ajili ya kufurahi,kubadilishana mawazo,kubadilisha mazingira,kupeana michongo na vingine vingi visivyo na madhara.
Tusibaguane wala kuweka matabaka ...Mali ni zetu lakini uhai si Mali yetu bas muda huu tupo hai tutengeneze aman na upendo sisi kwa sisi.Tanzania ni yetu bas tusitengane wandugu.NAWAPENDA SANA!
[emoji1787]Hapatatosha kwa makasiriko tuliyonayo
Vitabia vyao ee?
Sawa Sawa🥰🥰Nikikamilisha mishe zangu jion nakucheck
[emoji1787] Jf bwana!! Halafu sote tuko Dar.[emoji3][emoji3] hakuna mlinzi hum wala mpiga debe wote tupo ofisini[emoji124][emoji1241]