WanaJF inatakiwa tuonane jamani

Aaaaaaah.

🤣🤣🤣🤣🤣 akining'oa meno jeeeee.
Anaanzaje kukuvunja Kwa mfano? ..hivi unajua kwamba kinachosikika sn hakina maumivu makali?
Namaanisha That Gentleman ananijua vizuri sn km Mimi ni back up yake maana analisika jina langu mara Kwa mara,so hawezi kustuka wala kuumia akisikia umetoka na Mimi😀..Angeumia na kukupiga km ningekuwa mchepuko mpya
 
Mimi nakuja hapo Mbalari kesho
Tuonane gwa kumyitu
 
Sasa mm goroko nitoke hadarani nyinyi ambao siyo anonymous mkutane tu ila kwetu ss hpn aise Sasa HV siasa inakuwa uwadui pengine umetumwa na mwigulu nn
 
Sasa mm goroko nitoke hadarani nyinyi ambao siyo anonymous mkutane tu ila kwetu ss hpn aise Sasa HV siasa inakuwa uwadui pengine umetumwa na mwigulu nn
Unatoka tu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…