WanaJF mnakumbuka hii hadithi? Sadiki na Chitemo

Nimeisoma mwaka 94 ..kipindi hicho ilikuwa ni sadiki na sikiri
 
Yaani kwa kuthibitisha kuwa "...hatuna utamaduni wa kutunza elimu", hivi vitabu havipatikani kabisa. Kuna siku nimeingia maktaba ya Mkoa, nikaulizia kama naweza pata nakala ya vitabu vya shule ya msingi vya zamani, nikajibiwa hakuna, yaani nikabaki najiuliza "nina kosa gani mimi ambaye sikuvitunza"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…