WanaJF mnatia aibu mnapozichunia posts za English

WanaJF mnatia aibu mnapozichunia posts za English

kwa hiyo shida yako ni kiingereza tu??

Okay, ofcourse, yes/no, Good morning how are you, are you fine?

Mimi nimemaliza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Povu la nini sasa wakati ndege wa aina moja huruka pamoja?

Nashukuru kunitaarifu umeielewa lugha ya shoga mwenzio
hahaaa kumbe waelewa kiswahili dadeq...
hicho ndio nilichokuwa nakitaka ..maana ulijinadi kuwa humuelewi anachokiongea..but samahani kwa choko choko..

kuitwa shoga wakati wewe sio shoga kweli.. hakuwezi kuleta tija yoyote yaku sababisha uumizwe na hiyo kauli..kazi njema
 
hahaaa kumbe waelewa kiswahili dadeq...
hicho ndio nilichokuwa nakitaka ..maana ulijinadi kuwa humuelewi anachokiongea..but samahani kwa choko choko..

kuitwa shoga kama wewe sio shoga hakuwezi kubadilisha ukweli kuwa wewe nishoga ..siku njema
Sawa dada. Msalimie mama. Alikuwa girl friend wangu kabla hujazaliwa.
 
What is your problem limited? If you wanting as to contribution in English make sure you teaching us grammar of united states company limited. Me and my other fellows of JF we dont know how to type in mother tongue language of people of Engalnd.

After saying so in writting please liiv as alone and continue with your business of market of language of white colonialism human being people..

Today I will going for Ras Simba to increase noledge of grammar of english

Senkyu very much and say I love you too to your mother on law.
daa i hev laghing for sound until peple have saprised you ar very fanny you
 
[emoji444][emoji445][emoji441][emoji443]Emancipate yourself from mental slavery......[emoji441][emoji443]

[emoji441][emoji444][emoji445]None but ourselves can free our minds.....[emoji443][emoji443][emoji443][emoji447][emoji447][emoji447]

....Robert Nesta Marley
why your yourself right English ze song which you saying we spik to stop end emancipet our minds. why you say fee our mind and you say englsh youselfu
 
Mi huwa nina furaha siku zote. Sijapata kitu cha kuifuta furaha yangu
nimemaliza mkuu
ndio maana waoana nimejishusha na kuiruhusu busara initawale ...nisingepnda kuona watu wengine wanakereka kwakuona comment zangu zenye lugha chafu dhidi yako nakuwafnya wakwazike ...
nakwakuwa na jiheshimu na paswa kukuheshimu pia ..na huwa sipendi mipasho cus sio vazi zuri kwa mwanaume ...
haimaanishi kwamba sijui matusi hapana..but mwenye hekima huwa anajitahidi kuufcha ujinga wake mbele ya wenzake waliostaarabika...
 
nimemaliza mkuu
ndio maana waoana nimejishusha na kuiruhusu busara initawale ...nisingepnda kuona watu wengine wanakereka kwakuona comment zangu zenye lugha chafu dhidi yako nakuwafnya wakwazike ...
nakwakuwa na jiheshimu na paswa kukuheshimu pia ..na huwa sipendi mipasho cus sio vazi zuri kwa mwanaume ...
haimaanishi kwamba sijui matusi hapana..but mwenye hekima huwa anajitahidi kuufcha ujinga wake mbele ya wenzake waliostaarabika...
Mungu aendelee kukujaza busara na hekima.

Siku nyingine usirudie kumtusi babu....

Utapata laana ya bure tu...

Amani itawale moyoni mwako... usitende tena dhambi.
 
daa i hev laghing for sound until peple have saprised you ar very fanny you
Am very happiest to see you laughing until your eyes pour some crying water.

Say goodmorning teacher to ze suprised people of your laughing.
 
why your yourself right English ze song which you saying we spik to stop end emancipet our minds. why you say fee our mind and you say englsh youselfu
Tatizo siyo kingereza boss....tatizo ni mindset/wrong thinking....

Kudhani kwamba kujua kingereza ndiyo kila kitu ni fikra potofu....maarifa ni zaidi ya lugha, lugha ni medium ya kufikisha maarifa, si zaidi ya hapo...
 
Sim yenyewe Huawei halafu unalazimisha tuchangie post zako
 
Am very happiest to see you laughing until your eyes pour some crying water.

Say goodmorning teacher to ze suprised people of your laughing.

daa i hev laghing again tru true meaning the secand coment witch yo heva mek i get out tears ok ok in inglish they sey neva say nevar again god nigh swet drims
 
Mungu aendelee kukujaza busara na hekima.

Siku nyingine usirudie kumtusi babu....

Utapata laana ya bure tu...

Amani itawale moyoni mwako... usitende tena dhambi.
hahaaa babu gani anamatusi ..babu ameruhusu nguvu ya ujana iliyompita iendelee kutawala kichwani mwake ...(kidding)

kazi njema..
 
[emoji444][emoji445][emoji441][emoji443]Emancipate yourself from mental slavery......[emoji441][emoji443]

[emoji441][emoji444][emoji445]None but ourselves can free our minds.....[emoji443][emoji443][emoji443][emoji447][emoji447][emoji447]

....Robert Nesta Marley

[emoji445] They had no fear of atomic energy, is none of them can stop to time. How long shall they kill our prophet while we stand aside and look, woo[emoji445] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
The terminus a quo of the lurid facts of matter at hand though pellucid as averred by you is expression of supremacy of colonial legacy entrenched in your cerebrum of which operates against the interest of the realm and its people, in this the crack of dawn, I am sceptical as to whether you have taken this stance compus mentis or rather your knowledge centra is enveloped in linguistic pomposity as manifestation of colonial crinkum crankam enshrined in your encephalon, if the former postulation is meretricious and the later supposition reigns the veracity indispensably in corporeal sense you are within the same geographical milieu and in vis-a-vis with Tanzanians but in incorporeal sense, vice verse is irrefutable truth. Perhaps, I am casting pearls before swine in endavour to cleanse the augean stable, however, attitude manifested vide your threads and contents contained therein exhibits superciliousness which goes therewith and that may turn to be a miasma of deprecated apotheosis to Jamii Forums members' anathema arising therefrom with momentous consequences founded thereon that do not end thereat rather proliferate as intimated hereinbefore and thereafter as I continue raising the same . Your thread might tend to lead JF members into limbo of tenterhooks in connection with their competence in respect of English Language leading reigning of negativities, inter alia, including unfounded inferiority in a circumstance which you configure your position as the triton among the minnows, please never ever cross the rubicon in respect of matter at hand otherwise you will end up in achieving a pyrrhic victory, by these words I am humbly putting you in qui vive for consequences thereof. Finally, be notified that members of Jamii Forums are competent enough to discuss issues vide English Language but they are reluctant to do so purposively with view that whatever is discussed herein can be read, understood and shared by significant section of populace of this great republic of which I honestly believe that is one of a conditio sine quo non for founding Jamii Forums.


Kindly be so advised and notified.

I am just joking, husikasilike bibie naisha nasri
Kingereza hiki huwa nakiskia kwa PLO Lumumba tu.......[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
[emoji445] They had no fear of atomic energy, is none of them can stop to time. How long shall they kill our prophet while we stand aside and look, woo[emoji445] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
[emoji442] [emoji442] [emoji443] ....
Some say it's just a part of it
We've got to fulfill the Book
Won't you help to sing
These songs of freedom?

'Cause all I ever have
Redemption songs

Redemption songs

Redemption songs
[emoji445] [emoji445] [emoji445]
 
Back
Top Bottom